Awamu za urais/utawala

Muadilifu

Senior Member
Joined
Sep 26, 2007
Posts
149
Reaction score
23
Wandungu,
Naomba mnisaidie kujua ni vigezo gani vinatumika kujua hii ni serikali ya awamu ya ngapi, au huyu ni Rais wa awamu ya ngapi. Je ni kubadilika kwa Rais, au ni kuingia kwa ngwe nyingine ya uchaguzi (hapa nikimaanisha kipindi kingine cha miaka mitano ya uongozi wa Rais) Kama hoja ni kubadilika kwa Rais, hatuoni kwamba kwa kauli hii tunahalalisha Rais kukaa madarakani miaka yote kumi hata kama hafai? Na je endapo itatokea Rais akaongoza kwa miaka mitano tu, na akachukua urais mtu mwingine, hiyo nayo tutaiita ni awamu? Ni hayo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…