Awamu zijazo za BRT

Awamu zijazo za BRT

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Habari wanachama wenzangu wa JF.

Baada ya Salamu nilikuwa nataka kujua awamu zijazo za mabasi yaendayo kasi zitahusisha barabara zipi maana nilisikia kuna awamu mpaka 5 je utekeezaji wa ujenzi utaanza lini
 
Nilisikia mbagala kivukoni ila sikujua inakopita,.. Na nyerere road kariakoo,...

Mwenge to tegeta walisema pia,.. Sasa nadhani tusubiri wakuu wa nchi waamue
 
Habari wanachama wenzangu wa JF.Baada ya Salamu nilikuwa nataka kujua awamu zijazo za mabasi yaendayo kasi zitahusisha barabara zipi maana nilisikia kuna awamu mpaka 5 je utekeezaji wa ujenzi utaanza lini
Hizi hata usizifikirie..hakuna serikali ya kutekeleza hilo kwa sasa..
 
Habari wanachama wenzangu wa JF.Baada ya Salamu nilikuwa nataka kujua awamu zijazo za mabasi yaendayo kasi zitahusisha barabara zipi maana nilisikia kuna awamu mpaka 5 je utekeezaji wa ujenzi utaanza lini
AAEAAQAAAAAAAAj8AAAAJDkxZDA3NjZhLTFhMGYtNGMxNi05MzViLWEwMTIwMGY5ODMxZg.jpg
 
Back
Top Bottom