Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Imearipotiwa kwamba Mmarekani Lisa Sparks anashikilia Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa kulala na idadi kubwa zaidi ya Wanaume ndani ya saa 24 – Wanaume 919. Alifanikiwa kupata rekodi hii lakini kwa gharama ya sehemu zake za siri.
Sparks, mwigizaji wa filamu za ngono anayejulikana kwa jina la utani Lisa Sparxxx, aliweka rekodi ya dunia tarehe 16 Oktoba, 2004, huko Warsaw, Poland.
Sparks aliweka rekodi ya kushangaza ya kufanya ngono na Wanaume 919 kwa siku moja kama sehemu ya Mashindano ya Dunia ya Gang Bang ya kila mwaka.
Mmarekani huyo alipambana na ushindani mkali kutoka kwa mpinzani wake aliyekuwa anashikilia rekodi ya awali ya kulala na wanaume 759 kwa siku moja.
Lisa alishinda mashindano hayo, akimpita mpinzani wake wa karibu kwa Wanaume 21 tu; rekodi yake ya kulala na Wanaume 919 ndani ya saa 24 bado inashikiliwa hadi leo. Video ya mashindano hayo iliwekwa kwenye tovuti kadhaa za filamu za ngono.