Aweso siyo Waziri anayefaa Wizara ya Maji. Rais lete rafiki mwingine awe Waziri wa Maji

Aweso siyo Waziri anayefaa Wizara ya Maji. Rais lete rafiki mwingine awe Waziri wa Maji

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.

Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji.

Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
 
Aweso anaonekana kuwa ana nia ya kupambana na changamoto za maji lakini uwezo huo ndio Hana.
Aweso anafaa sana kwa kazi za propaganda na uenezi,sio jukumu kubwa kama hili alilopewa.
Maji ni Maisha!.Kwa mantiki hii Maisha ya Mamilioni ya Raia yanategemea Wizara yake Aweso,we huogopi?
 
Aweso anaonekana kuwa ana nia ya kupambana na changamoto za maji lakini uwezo huo ndio Hana.
Aweso anafaa sana kwa kazi za propaganda na uenezi,sio jukumu kubwa kama hili alilopewa.
Maji ni Maisha!.Kwa mantiki hii Maisha ya Mamilioni ya Raia yanategemea Wizara yake Aweso,we huogopi?
Ni mpigaji hatari!! Tunaomjua ni kwamba katajirika sana kupitia Kwa mameneja na Wakurugenxi wa Mamlaka za Maji!! Ukimcheleweshea Mpunga anakufanyia zengwe!!

Bahati mbaya sana anakula na wanaoweza kumdhibiti
 
Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.

Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji. Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
Aweso kawabana patamu.
 
Acheni zengwe,,waty wa Dawasco hawato I maji na wanabodi inayowasimamia ..hadi waziri amekuja ndo maji yanatoka.Hapa Aweso anamakosa gani
 
Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.

Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji. Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
mmmh mbona kama hoja yako bado nyepesi ..jazajaza nyama ili ionekane kweli ameshindwa na si chuki juu yake
 
Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.

Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji.

Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
Sasa hivi ni kama tunatwanga maji kwenye kinu kwa kuwa hata anayeteua mawaziri hana akili hizo ambazo watu wanadhani anazo!
Kuhusu uongozi ni kwamba nchi iko katika gear ya auto pilot!
 
Naunga mkono hoja ila kwa mahaba yaliyopo ya wazi toka kwa mamlaka dhidi ya jumaa dede aweso sidhani kama ataondolewa.

Nadhani mke wake ni cicles zile za mamlaka kwa hiyo watu wa gymkhana huwa wanateuana watu wa gymkhana. Hata watoto zai huwa wanaoana watu wa gymkhana. Kama vile mike alvyooa kwa matemba, sioi alivyooa kwa mamvi, tenga alivyooa kwa sanare. Same circles.
 
Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.

Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji.

Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
We ndo mkurugenzi wa operation DAWASA kaa pembeni na hujuma zako
 
Huyo akiondoka, na Mkurugenzi wa MUWASA Moshi nae aondoke nae, sio mambo ya kujuana, utendaji zero
 
Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.

Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji.

Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
Wameshasoma mama anataka nini, na wao wanacheza mule mule. Unaita watendaji na camera za Millard Ayo, unafoka foka unamsifia mama, unatoa kafara/dhalilisha mbele ya raia wafanyakazi, au watendaji kadhaa. Basi unaonekana unafanya kazi sana, masiha yanaendelea, usisahau kusema Kazi Iendelee... basi...
 
Morogoro kihonda, nanenane, kingolwira, kitungwa tunaangamia. Awesome pisha wenye uwezo kwa kutatua changamoto za maji
 
Back
Top Bottom