Ni mpigaji hatari!! Tunaomjua ni kwamba katajirika sana kupitia Kwa mameneja na Wakurugenxi wa Mamlaka za Maji!! Ukimcheleweshea Mpunga anakufanyia zengwe!!Aweso anaonekana kuwa ana nia ya kupambana na changamoto za maji lakini uwezo huo ndio Hana.
Aweso anafaa sana kwa kazi za propaganda na uenezi,sio jukumu kubwa kama hili alilopewa.
Maji ni Maisha!.Kwa mantiki hii Maisha ya Mamilioni ya Raia yanategemea Wizara yake Aweso,we huogopi?
Aweso kawabana patamu.Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.
Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji. Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
mmmh mbona kama hoja yako bado nyepesi ..jazajaza nyama ili ionekane kweli ameshindwa na si chuki juu yakeWizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.
Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji. Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
Sasa hivi ni kama tunatwanga maji kwenye kinu kwa kuwa hata anayeteua mawaziri hana akili hizo ambazo watu wanadhani anazo!Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.
Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji.
Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
Bila shaka amewabana kwa kibwagizo cha "mama Samia anaupiga mwingi" lakini si kwa kusimamia wizara!Aweso kawabana patamu.
Kishatumbuwa huko, huna habari?Bila shaka amewabana kwa kibwagizo cha "mama Samia anaupiga mwingi" lakini si kwa kusimamia wizara!
We ndo mkurugenzi wa operation DAWASA kaa pembeni na hujuma zakoWizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.
Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji.
Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
Wameshasoma mama anataka nini, na wao wanacheza mule mule. Unaita watendaji na camera za Millard Ayo, unafoka foka unamsifia mama, unatoa kafara/dhalilisha mbele ya raia wafanyakazi, au watendaji kadhaa. Basi unaonekana unafanya kazi sana, masiha yanaendelea, usisahau kusema Kazi Iendelee... basi...Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu.
Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo ya maji.
Yeye yupo kushangilia jina la Samia. Kwa ufupi pamoja na kuweka marafiki kwenye nafasi za uwaziri, sasa tunataka mawaziri wenye akili. Watu wapewe nafasi kulingana na uwezo wao. Huyu hajiwezi.
Nilikuwa ninaitafuta hii comment.Aweso kawabana patamu.