Eti booking lol! Kuna watu wanafanya booking hadi first born anaingia chuo kikuu!!mpaka wamefanana Khaaa miaka 8.... mimi booking mwisho miaka mi3 kama huna sababu za msingi jikatae..
chaaa
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Uchumba suguMiaka nane?Acha tu amuoe sasa.
Kumbe ni Rehema afu anajiita Remy?Iknow the lady personally..naumia sana anyways nawatakia Maisha mwema my half rwandan half Arabic Rehema...
Amani ni wa Kenya na juzi nimesoma twitter ana admit kua alikua na mahusiano na AY miaka 10 iliyopita lakini hawakubahatika kupata mtoto.Ndani ya hiyo miaka 8 Ay si alikua na Amani yule bidada wa Ug au?..
Thank yuu nilijua wa Ug inamaana waliachana miaka 8 iliyopita au?.......lkn inaelekea Ay anabahati na wadada wavumilivuAmani ni wa Kenya na juzi nimesoma twitter ana admitt kua alikua na mahusiano na AY miaka 10 iliyopita lakini hawakubahatika kupata mtoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Elimu buremkuu mwalim wako wa hesabu akiona ulichoandika atasikitika mno
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Hatar tupu....lkn ndo ukweri chiefAISEEEEE LAITI WAKE ZETU WANGEONA TUNAVYO COMMENT KWA WAKE ZA WATU HAKIKA WANGETAMANI KUJINYONGA...
Huyu binti ni pini hakika...
Nyoosha maelezo chief....hujaeleweka hapo,Kinachotuangusha Wendi no negativity watanzania hutupendi mafanikioya watu Texans comment za wengi obviously ni single wsio na future
Kwa mujibu wa ile post ni miaka 10 iliyopita ndio alikuwa na Amani..Thank yuu nilijua wa Ug inamaana waliachana miaka 8 iliyopita au?.......lkn inaelekea Ay anabahati na wadada wavumilivu
Hili nalo neno! Mkiishi tu bila ndoa kila mtu anakuwa na nidhamu maana anaogopa ukileta fyoko mnagawana mbao
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Inawezekana kabisa katuliza mpaka kichwa. AY mtu wa hesabu.Anavutia huyu Binti.
Roli modo wetu...Hii ni khatari sana kwa mabint zetu vidume vitakuwa vinabadili gia angani kwa kunukuu "mbona AY kakaa penye uchumba miaka 8 waendelee kutumegea bint zetu.