AY arudi shule; kujiunga na chuo fake?

O level alichukua ufundi umeme na kupass vizuri sana....
 
wewe mlokole fake simjui ay zaidi ya kusikia nyimbo zake....ningejuaje anataka kurudi shule? hebu tupishe huko

Hahhaha mpwa naona mzuka mpaka umepitiliza.......
 
O level alichukua ufundi umeme na kupass vizuri sana....

Hapa kaazi kwel kwel yaani mtu alikosa credit hata za kuendlea na advance levell kapasi vizuri, huyo dogo alifeli Ifunda na ana D mbili tu kwenye cheti chake, hata alipokwenda Forest morogoro hakudumu hata mwezi mmoja alishindwa masomo, kifupi vyuo hivyo va mitaani ndio mahala pake hana ruhusa hata ya kufanya shoo Nkrumah hall nyambaf..
 
Hivi kwa kweli tutalizwa wengi kwanini TCU ilikuwa ngumu kwa Kampala University sasa hivi vyuo vingi tu vinatoa degree za kila aina mbona mie sielewi, vyuo vipi ni accredited hapa Tanzania?
Universities

S/N

Name of Institution

Location

Ownership

Status

1.

The University of Dar es Salaam(UDSM)

Dar es Salaam, Mlimani Campus

Public

Accredited

2.

The Sokoine University of Agriculture (SUA)

Morogoro

Public

Accredited

3.

The Open University of Tanzania (OUT)

Kinondoni, Dar es Salaam (with branches in all regions)

Public

Accredited

4.

The Hubert Kairuki Memorial University (HKMU)

Mikocheni, Dar es Salaam

Private

Accredited

5.

The Tumaini University (TU)

Moshi, Municipality

Private

Accredited

6.

The Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS)

Upanga, Dar es Salaam

Public

Accredited

7.

Ardhi University (ARU)

Dar es Salaam, Survey Area

Public

Accredited

8.

University of Dodoma

Dodoma

Public

Accredited

9.

Saint John's University of Tanzania

Dodoma

Private

Accredited

10.

Stefano Moshi Memorial University

Moshi, Kilimanjaro

Private

Accredited

11.

The Saint Augustine University of Tanzania (SAUT)

Nyegezi, Mwanza

Private

Accredited

12.

The Mzumbe University (MU)

Mzumbe, Morogoro

Public

Full Registration

13.

The State University of Zanzibar (SUZA)

Mnazi Mmoja, Zanzibar

Public

Full Registration

14.

The International Medical and Technological University (IMTU)

Mbezi Beach, Dar es Salaam

Private

Full Registration

15.

The Zanzibar University (ZU)

Tunguu, Zanzibar

Private

Full Registration

16.

Aga Khan University- Tanzania Institute of Higher Education (AKU-TIHE)

Upanga, Dar es Salaam

Private

Full Registration

17.

Mount Meru University (MMU)

Ngaramtoni, Arusha

Private

Full Registration

18.

University of Arusha(UoA)

Usa River, Arusha

Private

Full Registration

19.

Muslim University of Morogoro (MUM)

Msamvu, Morogoro

Private

Full Registration

20.

Teofilo Kisanji University (TEKU)

Mwanjelwa, Mbeya

Private

Provisional Registration
 
huyo AY kachemka sana...chuo chochote kilicho makini hakiwezi kumchukua mtu toka form 4 akasome diploma au adv. diploma hata kama ana div 1 ya pt 7...kikawaida form 4 leaver unakwenda kupata certificate for a year then u proceed with your diploma...na ukishakuwa na adv. diploma huhitaji kusoma degree tena maana adv. diploma is equivalent to degree...labda upige postgraduate diploma ambayo ni mwaka m1 tu..sasa hicho chuo cha AY kinachotaka form 4 akasome diploma kitakuwa kichovu tu..AY anajidhalilisha..vyuo vizuri vimejaa kibao...c bora uende hata CBE...siku hizi CBE wameanza kutambuliwa na NBAA kwahiyo nao wako juu wajameni...zamani walifutwa na board kwa mambo ya leakage za pepa na elimu duni..saiv they r recognized.
magogoni wenyewe saivi hawamchukui form 4 kusoma diploma pale..unapiga foundation course halafu ndiyo certificate na kuendelea na diploma..maana waliofaulu vizuri pale hawawapatagi kwanza..failures wengi ndiyo waenda magogoni for secretarial courses..samahani secretaries..ila ndiyo ukweli nanyi mwajua...waliokosa wengi kwenda form 6 na kufeli sana ndiyo wakimbilia magogoni..japo sio woooote..
 
Mhh Yoyo.....una chuki la Learn IT?Kwa taarifa tu.IIT,LEARNT IT,Newhorizon vyote vina mfumo huo huo wa LearnIT.Lets say ni feki..kwa mtizamo wako.Lakini nakwambia IT haihitaji degree....kama ni credit ya chuo...basi IFM wanaweza kuwa ni moja ya vyuo vyenye credit za chini kabisa.Zamani 5yrs back kilikuwa ni kweli chuo ukimaliza IFM IT kweli unakuwa uko sawa...siku hizi mitihani wananua kila kitu.Nenda IIT,LEARN IT au Newhorizon ukangalie.

Pili hawa wahidi wana facility za kutosha wanamwandaa mwanafunzi kujiajiri...sio kuajiliwa kwani anafanya vitu practical kuliko thiory.Thiory mara nyingi iko kwenye mitihani wengi pale wanakamatwa sana...kwani huja na concept kama yako mwisho wa siku hushidwa.Ila YoYo what happen sikujua kama ungeweza kuja na this topic...je wataka kupata uhakika wa chuo kuwa ni feki?

Naamini kile chuo kinatoa elimu bora...watu wengi system adminstrators,MCSE,MCDBA wanatoa hawa wahidi.?Did u see this IFM?
 
Naamini kile chuo kinatoa elimu bora...watu wengi system adminstrators,MCSE,MCDBA wanatoa hawa wahidi.?Did u see this IFM?
si kweli mkuu, hizi ni certifications tu za microsoft, ambazo mtihani huwa ni mmoja iwe uko china, india, tz, us, uk etc!, pepa zinafanywa online from one centre. hata UCC zipo.
hata hapo Learn IT, newhorizon, iit etc hazifundishwi kwenye syllabus.
 
Mhh Yoyo.....una chuki la Learn IT
hapana mkuu..

 
Yoyo

. Mbona chuo cha ESAMI makao makuu yapo arusha nadhani kinatambulika kimataifa, tawi lake lipo hapa dar wanatoa Diploma mwaka mmoja evening classes. na advanced diploma miaka miwili.
lakini mpaka uwe na certificate ya course husika.
 
lakini si kuna ile TUC sasa inafanyia kazi kitu gani au nako huko kuna UFISADI?
 
si kweli mkuu, hizi ni certifications tu za microsoft, ambazo mtihani huwa ni mmoja iwe uko china, india, tz, us, uk etc!, pepa zinafanywa online from one centre. hata UCC zipo.
hata hapo Learn IT, newhorizon, iit etc hazifundishwi kwenye syllabus.


Nafahamu hilo mkuu...
 
siku hizi ukitaka kugombana na watu waambie kuhusu chuo walichopitia hata kama ni kibovu watatetea saaana, si unakumbuka wale wa sua walivyo mshukia kipanya alivyo wachora?

Jamaa umenichekesha sana. Lakini unajua vitu vingine wabongo tunajilostisha. Hivi kweli mtu unashindwa kuingia kwenye computer na kuuliza google kuhusu chuo unachokitaka? Jamani after all its YOUR MONEY! Jamani tuache huu uvivu..ok, granted si wote wanatumia IT lakini naamini kama unataka kusoma chuo kinaitwa "learnIT" jamani lazima uwe na clue!

No pun intended; Mi nikishaona Muhindi yuko involved katika lolote..nakuwa makini sana..jamaa kwa quality ni wabovu sana (labda wakiwa nje ndo wana play by the rules) ila wakija Africa wanataka kutuokota..

Sikuwahi kusoma India..ila kuna jamaa yangu ni mtumishi wa serikali alienda huko kusoma masters tena kwa hela ya walipa kodi..mbona jamaa alirudi eti chuo hakikuwa accreditated! Well..baada ya kumhurimia nilimdharau sana..yaani katika masters level unashindwa kujua wapi pa kwenda na sponsor anakulipia? Now you can imagine hela yetu walipa kodi inavyopotea!

In all I wish the guy all the best in uamuzi mzuri, ila wabongo tuache shortcut! Unaona chuo kwenye website ya Michuzi..simply kwa sababu kiko Uingereza..unataka kwenda..hujauliza wala nini..ndo maana hawa jamaa wanatutake for granted..we cant even comprehend the basics!

Kama hela ni yako..tafuta chuo kizuri..nenda British Council/American Embassy..waulize watakupa na gharama..kama unaona uvivu wa kumuuliza google!

Masanja,
 
Yoyo

. Mbona chuo cha ESAMI makao makuu yapo arusha nadhani kinatambulika kimataifa, tawi lake lipo hapa dar wanatoa Diploma mwaka mmoja evening classes. na advanced diploma miaka miwili.
lakini mpaka uwe na certificate ya course husika.


umeshasema mpaka awe na certificate..lkn hawa learnit wamchukua form four leaver...ndiyo maana twawatilia shaka sana na elimu yao.
 
Yoyo

. Mbona chuo cha ESAMI makao makuu yapo arusha nadhani kinatambulika kimataifa, tawi lake lipo hapa dar wanatoa Diploma mwaka mmoja evening classes. na advanced diploma miaka miwili.
lakini mpaka uwe na certificate ya course husika
.

Dada yangu,

swali la Yo Yo liko valid kabisa. Kinachogomba hapa ni hizi diploma mills. Huwezi compare ESAMI na hivi vyuo vinavyo proliferate kama njugu. Wote tunapenda fursa za kusoma ziongezeke..lakini siyo kuja kutuokota kwa sababu ya njaa. Ukitaka kuangalia chuo angalia mtaala na qualifications za walimu wanaofundisha. Mfano you can talk of UDSM kwamba ni wabovu..lakini kaangalie walimu majority wamekula nondo wapi..(Mkandala kala shule UCL Berkeley)..sasa huyo hata akisimama mbele yako. hata kama ni hopeless kwingineko..lakini ana credibility.. sasa mtu kasoma sijui shule ya South India au Sri Lanka huko ndo anakuja bongo eti ni Professor..duh....atakufundisha nini?

Hizi sababu nyingine hapa..ohh..sijui diploma ya mwaka..sijui IT huhitaji degree..ni lame excuses tuu..kama jamaa alivyosema..kama na wewe umepita huko lazima ujustify tuu! Lazima tufike mahali tukatae hizi cheap cheap reasoning za eti "elimu ni elimu"

Hivi unajua mimi mpaka leo sijui kwa nini BAADHI ya watoto wa vigogo wakienda ulaya unakuta wanasoma kwenye community colleges na shule nyingine za ajabu ajabu.. tena wanalipiwa na hela za ufisadi! Sasa unajiuliza kwa nini huyu hakuomba chuo cha maana akaenda kugonga nondo za uhakika?

Eti unakuta mtoto wa Mkulima kama (Masanja-lol) ndo anakula nondo ya masters au PhD pale London School of Economics..wakati mtoto wa fisadi ambaye amesomea ughaibuni mpaka vidudu yuko sijui chuo gani!

Duh uzembe mwingine bana....
 
Yoyo

. Mbona chuo cha ESAMI makao makuu yapo arusha nadhani kinatambulika kimataifa, tawi lake lipo hapa dar wanatoa Diploma mwaka mmoja evening classes. na advanced diploma miaka miwili.
lakini mpaka uwe na certificate ya course husika.
honie nimeangalia sijaona sehemu ya diploma ya mwaka esami na sijaona kama wanatoa adv diploma ila wanatoa higher diploma...hebu..
Higher Diploma in Management and Administration (HDMA) - The programme targets holders of Diploma in Management and Administration as well as any other equivalent diploma programmes.


.....
Diploma in Management and Administration (DMA) – The Diploma targets graduates of certificate in Management and Administration or holders of any other equivalent certificate programmes.
 
lakini si kuna ile TUC sasa inafanyia kazi kitu gani au nako huko kuna UFISADI?
Mie choka kabisa sielewi, IMTU nayo sio accredited! so mbona mpaka Masters wanatoa!??
KIU? sasa mbona serikali haieleweki, kwanini havifungiwi?
Mie IIT kijana wangu alienda na Form 4 maths amefeli walimwambia anaanzia Certificate ambayo ni miezi 6 nadhani, ndo unaingia diploma 1 yr, then Advance dip 1 yrs.
Nadhani hawa wame take into consideration watu wengi wanataka kujiajiri zaidi kuliko cheti, pia hizo diploma, unapewa cheti then advance cheti kisha 1 yr unamalizia degree - cheti ni kukuwezesha mtu kupata kazi wakati unasoma. haya ni maoni yangu lakini kama anavyosema Buswelu mie nimefanya kazi na mtu wa IFM na wa IIT, wa IFM tumemshindwa kabisa bora hata mie yaani hawezi kazi nyingi tu hawezi kabisa haelewi, sijui ni case ya 2 people hivyo samahani kama nakosea hapa.
 
Mie choka kabisa sielewi, IMTU nayo sio accredited! so mbona mpaka Masters wanatoa!??
KIU? sasa mbona serikali haieleweki, kwanini havifungiwi?

Kutoka stage moja kwenda nyingine chuo kinatakiwa kitimize masharti na viwango fulani, na huwa kuna muda ukipita ndio kinaweza fungwa. Mfano Provisional Registration ndio unapanda na kupata Full Registration, tokea hapo ndio ukitimiza masharti na viwango chuo kinakuwa accredited. Hivyo kwa IMTU kipo hatua nzuri, japo kina umri mkubwa kiasi kilipaswa kiwe kimeshakuwa accredited.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…