BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
-
- #21
HahahaYa ' Kibaiolojia ' Mkuu.
Kuna post naitafuta ni ya kitambo kidogo inawahusu wauza nyama wote hawakuwa na mwisho mwema... Ngoja niendelee kuitafuta.. Damu sio kitu kizuri sanaDuh kwanini kiongozi unasema hivyo nifafanulie tafadhali
wew kiazi kweli ndo nyie mlikuwa mnalalamika bakharesa anauza hadi maandazi?Huyu si ndio walisema tajiri?!
Sasa mbona badala ya kufungua kiwanda kaenda kufungua bucha?!
Duh basi naisubiri na wengine wanaotaka kujua kiongoziKuna post naitafuta ni ya kitambo kidogo inawahusu wauza nyama wote hawakuwa na mwisho mwema... Ngoja niendelee kuitafuta.. Damu sio kitu kizuri sana
Weka vizuri hapo mkuu,kivipi..!Maana nimejaribu kurudi nyuma nikifuatilia mwisho wa mabucha mengi nilioyafahamu miaka ya nyuma sioni kama kuna yoyote inayoendelea na shughuli zake mpaka sasa.Ila sio biashara nzuri sana kiroho huwa haina mwisho mwema
Kitu chochote kinachodili na kuangamiza roho hakina mwisho mwemaWeka vizuri hapo mkuu,kivipi..!Maana nimejaribu kurudi nyuma nikifuatilia mwisho wa mabucha mengi nilioyafahamu miaka ya nyuma sioni kama kuna yoyote inayoendelea na shughuli zake mpaka sasa.
we jamaa boya kweli unaona hilo bucha la mtaji wa laki 5? mbona bakhresa akikuuzia aiskirimu hamsemiHuyu si ndio walisema tajiri?!
Sasa mbona badala ya kufungua kiwanda kaenda kufungua bucha?!
Bongo hata bucha ni kiwandaHuyu si ndio walisema tajiri?!
Sasa mbona badala ya kufungua kiwanda kaenda kufungua bucha?!
Boya mama ako.we jamaa boya kweli unaona hilo bucha la mtaji wa laki 5? mbona bakhresa akikuuzia aiskirimu hamsemi
Ndivyo entertainment industry ilivyo duniani kote.Wasanii wa bongofleva wanafanana
Wakitaka kutoa nyimbo mpya inaanza na mapicha kisha waaandishi wanaitungia story picha, muda ukifika nyimbo inaachiww
kiwanda tayari anachoHuyu si ndio walisema tajiri?!
Sasa mbona badala ya kufungua kiwanda kaenda kufungua bucha?!
naisubiri namimi mkuuKuna post naitafuta ni ya kitambo kidogo inawahusu wauza nyama wote hawakuwa na mwisho mwema... Ngoja niendelee kuitafuta.. Damu sio kitu kizuri sana