special Agent MOSSAD
Member
- Sep 28, 2017
- 57
- 86
Ndio maana wabongo wengi ni masikini ,,,kuzarau kazi hata kama unafedha ,,,yaweza kuwa anataka bucha lake liwe la kisasa zaidi sio kama hayo ya kwenu mtaaniHuyu si ndio walisema tajiri?!
Sasa mbona badala ya kufungua kiwanda kaenda kufungua bucha?!
Bucha sio kiwanda????? Basi Azam wanauza mpaka mikate itakuwaje???Huyu si ndio walisema tajiri?!
Sasa mbona badala ya kufungua kiwanda kaenda kufungua bucha?!
Sijaona thread mzee.. ila nafikiria bas hata tunaokula nyama kiroho hatuko sawa ikiwemo wewe au hujawahi kula nyama mzee? Mana anayekata nyama anamkatia anayeenda kula nyama iliyokatwa..! Nawaza kwa sauti tuIla sio biashara nzuri sana kiroho huwa haina mwisho mwema
Wapi hapo waliposema kafungua bucha???Huyu si ndio walisema tajiri?!
Sasa mbona badala ya kufungua kiwanda kaenda kufungua bucha?!
kweliIla sio biashara nzuri sana kiroho huwa haina mwisho mwema
Ni video mpya mkuuIsije kua ni video tu
Kiki ya ngoma mpya hii...