qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Hahaha labda alisoma pgm mazengo
mtu hata knowledge ya elementary physics hana, matrajectory advanced atayaweza? ngoja tuone
Na hata muuliza swali (mrembo wa Citizen,bi Kanze Dena) alimwambia AY "nasikia unajifunza urubani"...so ni kwamba jamaa alishaanza na anaendelea na mafunzo hayo ni kwamba tu hatukua tunafahamu.
Ingekuwa ni ndugu Almasi mbona tungeshajua long time.....
almasia alienda kusoma English kozi Dunia nzima ikajua..
Mimi mwenyewe naendesha ndege ndogo. Mbona uku watoto wa miaka 15 wanaziendesha.
AY mngemuuliza vizuri labda yeye alimanisha kuendesha kwenye computer games.
Ila kila kitu kinawezekana
Microsoft Flight Simulator
hahah kama ulikuepo mkuuHahahahhahaga hivi