AY na Amani

Status
Not open for further replies.

Genekai

R I P
Joined
Feb 9, 2010
Posts
12,514
Reaction score
4,998
Jamani wana jamvi, kunakipindi nilikuwa likizo huko home nikasikia umbea kuwa AY na Amani yule mwanamusiki wa Kenya kuwa walikuwa katika harakati za kuoana. Ni kweli?
 
Genekai
Kwani hiyo ni Joke? weka kila kitu mahala pake bwana, this is the house of great thinkers. Hata hivyo hiyo ni issue ambayo ni personal sana. Lakini kwa kuwa hao watu ni celebrities then its ok
 
Genekai
Kwani hiyo ni Joke? weka kila kitu mahala pake bwana, this is the house of great thinkers. Hata hivyo hiyo ni issue ambayo ni personal sana. Lakini kwa kuwa hao watu ni celebrities then its ok
Asante!
 
walimegana,wakapeana mimba,
wakatoa mimba,sasa wamechana.
typical za kibongo bongo.
they got no class.
 
Wametemanaa.....muda sasa zaidi ya mwaka
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…