its true ay ni moja ya wasanii wanaozid kushuka kimzik ila kubak majina yao kwenye game.kinachomfanya mcela kujulkana ni collable na wasani wa nje kama.romeo mara hii alicma anataka kufanya collable na tyga wa y.money.so vitu kam hivyo vinamfanya aonekane kama bad yumo ila anazd kuporomoka.nalog out
AY hana kitu,AY namkubali wa YULE,LEO lakini huyu AY wa Speak with ur body hana kitu bora asimamie miradi yake ya daradara na Unit Entertainment,Duka la ngua basi lkn mziki naona kama amekwisha hivi,anajaribu sana kushirikisha wasanii wa nje lkn wapi ngoja tuone wimbo wake aliomshirikisha STElla(ESTL)