Aya wataakamu wa magari njooni museme kitu hapa

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,587

Iyo alama c ni ya kazi gani

Source:fb

Note:sio kwamba sijui ila nawachallenge
 
Hiyo hutumika kwenye milima mikali ina nguvu sana sawa na kuweka rivers
 
COROLA hiyo ndio gia ya mwisho kuitimia baada ya namba moja pindi gari inapopanda mlima.Huwa ina nguvu zaidi ya namba moja,ukiwa umeitumia na ngoma inagoma kupanda,hapo lazima uwe na bonge la gogo kuweka tena kwa haraka ili isichanganye kurudi nyuma.
 
COROLA hiyo ndio gia ya mwisho kuitimia baada ya namba moja pindi gari inapopanda mlima.Huwa ina nguvu zaidi ya namba moja,ukiwa umeitumia na ngoma inagoma kupanda,hapo lazima uwe na bonge la gogo kuweka tena kwa haraka ili isichanganye kurudi nyuma.
Brother ww inaonesha umejifunzia safarini aya mambo maana madereva waliojifunzia safarini karibu wote wanaiita COROLA habari za CRAWLER hawana mda nazo na wengine wanajua tu hii ni C what does it mean hawaitaji kujua..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…