Ayatollah ailaumu coronavirus kwa wapiga kura wachache kujitokeza

Ayatollah ailaumu coronavirus kwa wapiga kura wachache kujitokeza

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuqa

Utawala wa kero na maigizo wa akina Ayatollah Iran imeilaumu vikali na kuisingizia taifa la Israel na Marekani kusababisha wa Iran wengi kutojitokeza kupiga kura katika uchaguzi wa Wabunge kwasababu ya coronavirus.

Wanadai maadui wa Iran Israel na Marekani wameingiza virusi hivyo Iran na kuleta rabsha, uoga na hofu na kusababisha wairan wengi wasijitokeze kwa wingi kupiga kura.

Akina Ayatollah bana.

 
Kuanzia allah,mtume mpaka kina ayatollah ni mapunga kichwani...kila kitu hata wakipata ndoto mbaya wanasingizia waisrael na wamarekan
 
I hope hii habari sio ya kweli bali ni kiongozi mmoja wa dini ndio alilaumu Taifa la Marekani pekee ndio limesababisha Coronavirus kwa Taifa la Irani ... japo ndio kawaida yao kila kitu kusingizia Israel na Marekani
 
IRAN Inawakosesha Mno Usingizi WAYAHUDI Wapande Zote Ulimwenguni Kuanzia ISRAHELL Kwenyewe US EUROPE LATIN AMERIKA Mpaka Huko Shambalabibi [emoji23][emoji23][emoji23] Yaani Wameishindwa Kiuchumi Wakaja Wakaishindwa Kijeshi Wakaja Wakaishindwa Kisiasa Wakaja Wakaishindwa Kisiasa Sasa Hivi Wanajaribu Kuendesha Vita Yakipropaganda Dhidi Ya Waajemi[emoji23][emoji23][emoji23]Japokua Nayo Ishashindwa Tayari Mwanzoni Kabisa


Waajemi Wanakaa Kimya Wanaendelea Namambo Yao Kama Kawaida

Naomba Mutabiri Upya Ule Mwakawenu Mlosema Utawala Wakina Ayatollah Utafikia Mwisho[emoji14]

Maana Naona Vikwazo Vyote Wababe Wadunia Wameshavimaliza Ila Wanaona Ngoma Ngumu

Sharti Ukitaka Kuiangusha IRAN kwanza Inatakiwa Ujiandae Kuanguka Wewe Halafu Pengine Nao Wanaweza Wakaanguka Baadae


WAAJEMI Popote Ulipo ULIMWENGUNI Pigeni Kazi Mujenge Taifa Lenu Achaneni Na WAYAHUDI Wakila Mahala Ulimwenguni




Sent using Jamii Forums mobile app
 
I hope hii habari sio ya kweli bali ni kiongozi mmoja wa dini ndio alilaumu Taifa la Marekani pekee ndio limesababisha Coronavirus kwa Taifa la Irani ... japo ndio kawaida yao kila kitu kusingizia Israel na Marekani
 
I hope hii habari sio ya kweli bali ni kiongozi mmoja wa dini ndio alilaumu Taifa la Marekani pekee ndio limesababisha Coronavirus kwa Taifa la Irani ... japo ndio kawaida yao kila kitu kusingizia Israel na Marekani
 
IRAN Inawakosesha Mno Usingizi WAYAHUDI Wapande Zote Ulimwenguni Kuanzia ISRAHELL Kwenyewe US EUROPE LATIN AMERIKA Mpaka Huko Shambalabibi [emoji23][emoji23][emoji23] Yaani Wameishindwa Kiuchumi Wakaja Wakaishindwa Kijeshi Wakaja Wakaishindwa Kisiasa Wakaja Wakaishindwa Kisiasa Sasa Hivi Wanajaribu Kuendesha Vita Yakipropaganda Dhidi Ya Waajemi[emoji23][emoji23][emoji23]Japokua Nayo Ishashindwa Tayari Mwanzoni Kabisa


Waajemi Wanakaa Kimya Wanaendelea Namambo Yao Kama Kawaida

Naomba Mutabiri Upya Ule Mwakawenu Mlosema Utawala Wakina Ayatollah Utafikia Mwisho[emoji14]

Maana Naona Vikwazo Vyote Wababe Wadunia Wameshavimaliza Ila Wanaona Ngoma Ngumu

Sharti Ukitaka Kuiangusha IRAN kwanza Inatakiwa Ujiandae Kuanguka Wewe Halafu Pengine Nao Wanaweza Wakaanguka Baadae


WAAJEMI Popote Ulipo ULIMWENGUNI Pigeni Kazi Mujenge Taifa Lenu Achaneni Na WAYAHUDI Wakila Mahala Ulimwenguni




Sent using Jamii Forums mobile app
Ungewaambia na watanzania pia wapige kazi ili waondoke hapa walipo ungeonekana mzalendo ila hiyo ya Iran haiwezi kukutenganisha na unafiki.
 
Ungewaambia na watanzania pia wapige kazi ili waondoke hapa walipo ungeonekana mzalendo ila hiyo ya Iran haiwezi kukutenganisha na unafiki.
Nikiwaambia ndio ntaonekana mnafiq sababu nlikua sina shida yakuwaambia

Halafu kila siku wana ambiwa wapige kazi


IRAN Waache wapige kazi nyie pigeni 2 kelele wao wala habari hawana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom