Ayoub Lakred mnamchukulia poa atawashangaza!

Hata kipindi kakolanya yupo Simba, akipewa nafasi ya kucheza Badoo mashabiki wanalalamika, saivi yupo Singida ndio wanaona Bonge la kipa

Ila huyu kocha si kasema hata angalia jinaa Bali uwezo wa mchezaji tusubiri tuone.

Tatizo hii Simba yetu changamoto kubwa baadhi ya wachezaji wao ni wakubwa kuliko timu, hayo Mambo yashapitwa na wakati, huchezi vizuri benchi mwingine apatiwe nafasi
 
Reactions: ITR
Lakred naamini ndiye kipa no 1 Simba sports club
Anayefuatia kwa ubora ni ALLY SALUM

Manula tangu apigwe goli 5 namwona siyo mzalendo kwa timu, Ana tamaa sana
Kuna mdau huko juu alihoji VP LAKRED angedaka ile mechi na mtaani saivi angekuwa wapi?? Ni obviously mizigo yote angebebeshwa yeye hata kina Mangungu sasinge husika
 
Goal alilofungwa onana mechi dhidi ya chelsea angefungwa ayoub maneno yangekuwa mengi sana

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hata magoli aliyo fungwa manura siku ile ya Yanga yalikuwa magoli malaini sana ,sema tu alijificha kwenye kichaka cha ajacheza muda mrefu,sasa sijui angekuwa huyu muarabu sasa hivi nadhani angekuwa amesharudishwa Morocco.
 
Hata magoli aliyo fungwa manura siku ile ya Yanga yalikuwa magoli malaini sana ,sema tu alijificha kwenye kichaka cha ajacheza muda mrefu,sasa sijui angekuwa huyu muarabu sasa hivi nadhani angekuwa amesharudishwa Morocco.
Hata Mangungu, try again vile vikao vyao vya mchongo visingekuwepo
 
Hapo kwenye Phiri hapo ukakasi. Phiri hachezi why?[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…