Kwakua round ya pili dhidi ya Yanga tunategemea atacheza Ayoub, hatutegemei malalamiko kama Aya tena.Ayoub nampa Salute.
Leo kaibeba Simba. Nafuta kauli za kejeli zote, Mwamba hana Mbambambaaa za kuuza timu.
Manula akauze Bamia soko la Mabibo tu mjinga yule katufungisha 5 kisa Mil 50 za GSM
Kweli mkuuCha ajabu wasiojua mpira watasema onana ndio MAN OF THE MATCH......atasifiwa Sana onana na kuonekana shujaa bila kujaa huyu niliomsifu na kuona ubora wake ndio katubeba kwenye mechii hii ngumu.... otherwise tungekufa 4 first half tu
leo angedaka kipya fulani na fulani wale, mechi ilikua sare ya mbili mbili.Kama uliangalia ile game Vs Asec save aliyofanya aisee Ni bonge la kipaa, binafsi sielewagi kwanini huyu mwamba anapondwa, makosa yapogo tuu kwenye mpira Ni kipa gani duniani mzuri hajawahi kufanya makosa ya kiboya?
Ana footwork nzuri Sanaa na Ni kiongozi kwa mabeki kumshinda MANULA, huyu atatusaidia Sana akiendelea kuaminiwa mwisho wa siku mashibiki mdomo kimyaaaaa!!!...Kama ilivyo kwa kibu tu.
Kama unahisi hajui kadake ww...mtu anacheza goalkeeping kakosea kidogo HAJUI. Yanga wanatuchora tuuu!!!, Sisi tunaendelea kuingiaa Cha kike kila siku kumkataa kipa mzuri.
Manula mda wake unaisha, kuumia sio kwa Bahati mbaya ila ndio ivyo hawezi kurudi kuwa Bora Tena ( hata akirejea atawadakia mpaka lini?? ). Huu ndio ukweli ambao mashabiki wenzangu wa Simba hawataki kuusikia!!
Mpira una mwisho (Ni career fupi) mda ukifika inabidi na wengine wapate nafasi, kwanini hatuigi kwa wenye mpira wao (Europe nk).
Kila siku maswali Ni Yale Yale kwanini CHAMA ajaanza, kwanini phiri achezi, kwanini Manula hakucheza na yupo fiti (alipocheza Vs mtani kwanini amecheza hayupo na hayupo fit...stupid).
Ifike mda tuache Mambo yaendee....tuwaachie wenye profession zao wafanye kazi, sometimes tunajiuliza Nani MCHAWI kumbe mchawi Ni sisi wenyewe mashabiki.
Nawasilisha
Mkuu, hongera Sana kwa kuona hili na kuongea ukweliAyoub nampa Salute.
Leo kaibeba Simba. Nafuta kauli za kejeli zote, Mwamba hana Mbambambaaa za kuuza timu.
Manula akauze Bamia soko la Mabibo tu mjinga yule katufungisha 5 kisa Mil 50 za GSM
Mkuu, waambie mashabiki wenzetu wa SSC tuache kukariri football Ni kumpa mtu muda na nafasi sio kukariri first11......mfano TU Leo tumeshinda hakuna mtu atamuulizia MOSES PHIRI kwanini hakuwa hata benchi????.....ila tungefungwa sasa.....hapa jukwaani kila mtu angehoji kuhusu phiriThe post sent and delivered
Hahahahahaaa....usijaliTusamehe sisi kaka[emoji2960]
Nadhani wataenda na beat tuu mdogo mdogo..kwanza unamuonaje kocha? Yupo serious na kazi na hata uwanjani alikua anawafokea wanaoleta uzembe...Kocha tunae mkuu..Mkuu, waambie mashabiki wenzetu wa SSC tuache kukariri football Ni kumpa mtu muda na nafasi sio kukariri first11......mfano TU Leo tumeshinda hakuna mtu atamuulizia MOSES PHIRI kwanini hakuwa hata benchi????.....ila tungefungwa sasa.....hapa jukwaani kila mtu angehoji kuhusu phiri
Au tungenyolewa kabisa!leo angedaka kipya fulani na fulani wale, mechi ilikua sare ya mbili mbili.
kocha yule hata makofi anakuwambaNadhani wataenda na beat tuu mdogo mdogo..kwanza unamuonaje kocha? Yupo serious na kazi na hata uwanjani alikua anawafokea wanaoleta uzembe...Kocha tunae mkuu..
Mkuu nikiri Mimi Kama mwana michezo sikuelewa zile subs zake kiukweli kwenye 2nd half....but kadiri mchezo ulivyozidi kuendelea ndio nilielewa kwanini alifanya hizo subsNadhani wataenda na beat tuu mdogo mdogo..kwanza unamuonaje kocha? Yupo serious na kazi na hata uwanjani alikua anawafokea wanaoleta uzembe...Kocha tunae mkuu..
Acha upumbavu wewe, kuna mashabiki wakatoliki sana.Ayoub nampa Salute.
Leo kaibeba Simba. Nafuta kauli za kejeli zote, Mwamba hana Mbambambaaa za kuuza timu.
Manula akauze Bamia soko la Mabibo tu mjinga yule katufungisha 5 kisa Mil 50 za GSM
Hahahaaa pole Sana mkuu huu mpira bhana Ni starehe ila muda mwingine unakuwa mtumwa wa timu YAKo pendwa.Kuna double save alifanya dakika ya 28 kidogo roho ichomoke
Umeongea hapo mwisho umemaliza kila kitu...He knows na amezitumia kwa faida...Mkuu nikiri Mimi Kama mwana michezo sikuelewa zile subs zake kiukweli kwenye 2nd half....but kadiri mchezo ulivyozidi kuendelea ndio nilielewa kwanini alifanya hizo subs
Ngoja tuendelee kuona but so far nilichojifunza kwa huyu kocha tayari kashajua STRENGTHS/WEAKNESS za wachezaji wake wote
Onana akiacha ubishoo tu ni mchezajiIla Onana hapana hata msemaje
Van gal aliwah sema ukiona timu pinzani inakushambulia sana kutoka pembeni na wew tengeneza Namna uweze kuwazuia kutoka huko huko pembeni Ndio Maana ya Sabu ya Duchu na MwendaMkuu nikiri Mimi Kama mwana michezo sikuelewa zile subs zake kiukweli kwenye 2nd half....but kadiri mchezo ulivyozidi kuendelea ndio nilielewa kwanini alifanya hizo subs
Ngoja tuendelee kuona but so far nilichojifunza kwa huyu kocha tayari kashajua STRENGTHS/WEAKNESS za wachezaji wake wote
Ni kweli leo at least usingizi utakuja mkuu kakweli, mpira banaa, ila tumeupenda wenyewe acha utuKILLUmeongea hapo mwisho umemaliza kila kitu...He knows na amezitumia kwa faida...
Tujipongeze mwana Lunyasi mwenzangu