Ayub Rioba: Vyama vyote vya upinzani nchini vinafahamu kuwa TBC ni Chombo chao cha Habari na vinakaribishwa muda wote

Ayub Rioba: Vyama vyote vya upinzani nchini vinafahamu kuwa TBC ni Chombo chao cha Habari na vinakaribishwa muda wote

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, ametolea ufafanuzi madai ya baadhi ya watu wanaoishutumu TBC kwa kutovialika baadhi ya vyama vya upinzani, ikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kushiriki mijadala inayohusu siasa.

Akijibu shutuma hizo, Dkt. Rioba amesema kuwa katika kipindi cha Mizani, ambacho hujadili masuala mbalimbali, ikiwemo siasa, aliwahi kufanya juhudi za kuwaalika viongozi wa CHADEMA kushiriki, lakini juhudi hizo zilishindikana. Hata hivyo, baadaye alifanikiwa kufanya kipindi na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Benson Kigaila.

Aidha, ameongeza kuwa vyama vyote vya upinzani nchini vinafahamu kuwa TBC ni chombo chao cha habari na vinakaribishwa muda wote.

 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, ametolea ufafanuzi madai ya baadhi ya watu wanaoishutumu TBC kwa kutovialika baadhi ya vyama vya upinzani, ikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kushiriki mijadala inayohusu siasa.

Akijibu shutuma hizo, Dkt. Rioba amesema kuwa katika kipindi cha Mizani, ambacho hujadili masuala mbalimbali, ikiwemo siasa, aliwahi kufanya juhudi za kuwaalika viongozi wa CHADEMA kushiriki, lakini juhudi hizo zilishindikana. Hata hivyo, baadaye alifanikiwa kufanya kipindi na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Benson Kigaila.

Aidha, ameongeza kuwa vyama vyote vya upinzani nchini vinafahamu kuwa TBC ni chombo chao cha habari na vinakaribishwa muda wote.

Hii ni habari njema sana。
Big Up Dr R。
P
 
Hii ni habari njema sana。
Big Up Dr R。
P
Naona kama Dr. R anapuliza tu, lkn ukweli ni kwamba analinda ugali wake.

Hivi kweli anaweza kumualika yule mzee wa ukweli na uwazi anayegombea uenyekiti chadema aanze kwa intro ya kumkana kuwa siyo mama yake, TBC itaendelea na kipindi? Baada ya hapo aseme yule mzanzibari Dr. Ryoba atakuwa hajazima mitambo tu?
 
Back
Top Bottom