Ayubu anapata shida kupanda na awamu ya sita, anatia huruma

Ayubu anapata shida kupanda na awamu ya sita, anatia huruma

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1620220709259.png

Mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ha ha ha ha.....ajiuzulu tu, sheria inaruhusu....kwa maslahi mapana ya taifa.
 
Cha India nasikia kipo mjini..... Tumwombee,maana akipitiwa...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe hata huku huongeagi? Nilidhani kule tu kwenye jukwaa letu la picha za malovee[emoji38][emoji38]
Dah! Sijui kwa group discussion ulikua wachangia hoja kweli au kwa adamu wako wazungumza?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120]
 
Huyu ni wakukemea kutoka pande zote, si wa kuchekea, atatuharibia nchi!
 
Jobond anasema ameletewa kipeperushi kwa mtindo huo wa kuibaka katiba eeh mungu ampitishie cha nyu deli🥶🥶
 
Kumbe hata huku huongeagi? Nilidhani kule tu kwenye jukwaa letu la picha za malovee[emoji38][emoji38]
Dah! Sijui kwa group discussion ulikua wachangia hoja kweli au kwa adamu wako wazungumza?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee bhana, nimecheka sana hadi mbavu zinauma, mbona mie kuna mada huwa natoa hoja hadi natamani nipasue cm niingie ndani niongee kwa mdomo nisikilizwe,

Hapo kwa adamu wangu sasa, ni kasheshe mweeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mtetezi wa wanawake wasio na vyama bungeni.
mboni nikiandika ****** inagoma? hapo kwenye ****** nimeandika ..nnduGAY.. bila dot inagoma 😂 😂 😂 😂 huyu anaefuta nawasi atakuwa nidem wake
 
Back
Top Bottom