Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Huyu Mtu Maarufu sana Ndani ya Mji wa Sinza Full Mbabe na alishawahi Shinda Mashindano ya Mr Dar Es Salaam na aliposhinda na kukabidhiwa kikombe akakishika kwa Mkono wake akakiminya hadi kikawa chapati! huku akidai mnanipa kikombe kwani mimi mwanamichezo''' mimi nataka ''hela'' kwa sauti zito...
Huyu jamaa ana nguvu nyingi sana ila mvivu kwenye kufanya kazi i mean hupendelea Ujobless mwili nyumba ngumi tofari akikuzaba kofi unaweza kupatwa na ulemavu hata mishipa ya ndani sehemu alipopiga kofi inaweza hata kupasuka huyu mtu si wa kuchezea ngumi zake ni zaidi ya ajari... akikupiga ngumi lazima ukapate matibabu hospitalini.... sasa tatizo la huyu jamaa ni mwizi kwa kutumia nguvu zake... so anaweza kukusingizia tu kuwa unamchukua mke wake wakati hna then anakunyang'anya kama simu pesa n.k hata nguo amefanya vitu vya ubakaji kwa kila aina...
Alishampiga stop ya kutembea Sinza maisha Dudubaya wakati ule ana heat sana na ubabe wake... nadhani hadi leo Dudubaya no sinza visit....
Alifungwa miaka mitatu na alipotoka ndugu zake wamehama sinza nasikia kakimbilia Kinondoni kwa mzazi wake anaishi so Majuzi kati kamtokea Askari wa Ultimate Security kamsingizia anatembea na mke wake kamzaba kofi la uso kisha kumuibia alivyokuwa navyo askari anapatiwa matibabu ya uso na jicho na amekuwa na mpango wa kuchukua team yake ya ultimate kwenda kumdhibiti ila naona ataongeza maumivu kwa wengine huyo jamaa wanaomuweza ni ndugu zake tu polisi walishamshindwa....
Ningeopmba Serikali wampunguzie Nguvu za mwili huyu jamaakwani ni hatari ukikutana naye madawa yeye bangi yeye ana macho makali sana ukitizamana nae usoni kulishakuwa na watu kama Double Diff mwili mkubwa na alidhibitiwa na kupunguzwa nguvu na wamekuwa wapole tu wanaishi mitaani...
Kama unavituko vyake naomba mviongeze japo ni vibaya ila vinapendeza kusikiliza Amazing Young man
Huyu jamaa ana nguvu nyingi sana ila mvivu kwenye kufanya kazi i mean hupendelea Ujobless mwili nyumba ngumi tofari akikuzaba kofi unaweza kupatwa na ulemavu hata mishipa ya ndani sehemu alipopiga kofi inaweza hata kupasuka huyu mtu si wa kuchezea ngumi zake ni zaidi ya ajari... akikupiga ngumi lazima ukapate matibabu hospitalini.... sasa tatizo la huyu jamaa ni mwizi kwa kutumia nguvu zake... so anaweza kukusingizia tu kuwa unamchukua mke wake wakati hna then anakunyang'anya kama simu pesa n.k hata nguo amefanya vitu vya ubakaji kwa kila aina...
Alishampiga stop ya kutembea Sinza maisha Dudubaya wakati ule ana heat sana na ubabe wake... nadhani hadi leo Dudubaya no sinza visit....
Alifungwa miaka mitatu na alipotoka ndugu zake wamehama sinza nasikia kakimbilia Kinondoni kwa mzazi wake anaishi so Majuzi kati kamtokea Askari wa Ultimate Security kamsingizia anatembea na mke wake kamzaba kofi la uso kisha kumuibia alivyokuwa navyo askari anapatiwa matibabu ya uso na jicho na amekuwa na mpango wa kuchukua team yake ya ultimate kwenda kumdhibiti ila naona ataongeza maumivu kwa wengine huyo jamaa wanaomuweza ni ndugu zake tu polisi walishamshindwa....
Ningeopmba Serikali wampunguzie Nguvu za mwili huyu jamaakwani ni hatari ukikutana naye madawa yeye bangi yeye ana macho makali sana ukitizamana nae usoni kulishakuwa na watu kama Double Diff mwili mkubwa na alidhibitiwa na kupunguzwa nguvu na wamekuwa wapole tu wanaishi mitaani...
Kama unavituko vyake naomba mviongeze japo ni vibaya ila vinapendeza kusikiliza Amazing Young man