Ayubu Van Damme Baada ya Jela Ukorofi kama kawa!


ha ha ha ha ha....
 
teh teh teh..mkuu toka 2012 una-update tu habari!
...Ayubu kaisha kwa msala gani tena?...kitambo sijamsikia!

Kuna Moja walivunja gari na wakakuta silaha akabeba kwenda ndani akakutwa akimla mtu kiboga kesi iliisha kwa sasa tutamsahau yule si binadamu ni mnyama jela ndio panamfaa
 
Kuna Moja walivunja gari na wakakuta silaha akabeba kwenda ndani akakutwa akimla mtu kiboga kesi iliisha kwa sasa tutamsahau yule si binadamu ni mnyama jela ndio panamfaa

hahahahahaha...ayubu hata jela si unaona anaharibu pia....mi alikuwa mwanangu,japo kitambo sana alitakaga kutuzingua ground Abuja..Midada ndo akamtonya akaushe.,wadogo zake nanilii hao..akaenda kumuomba radhi broda hakujua..toka hapo respect!
...ndo basi tena hawezi badilika!
 
Majina haya yanawaharibu!eti van damme!enzi za ugangwe zimepitwa na wakati.
 

Tuwekee picha yake ili tukikutana nae tuwe tunamkimbia kama kalubandika
 
Tuwekee picha yake ili tukikutana nae tuwe tunamkimbia kama kalubandika

Utamuweza Kwa Mbio? woyi... Yupo Jela sio wa leo wala kesho labda Magufuli amtoe ampe kazi bandarini
 

Mkuu upiversity inaeleke broda nae alikua jambazi wa kutisha mpaka kuombwa msamaha na jambazi sugu kama hilo.
 
Jamaa aliwahi kung'oa goli kwa mikono kwenye uwanja wa Sinza star. ilikuwa siku ya mechi kati ya Sinza star na Abajaro
 

Yani ni kusema na ndugu zake ni mabaunsa pia?duh huo ukoo ni wa kina johncena au?
 
Hivi Damme yupo wapi wadau???!!! Jana tumemuongelea sana maskani hapa sinza palestina [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna msiba majuzi liskia kia Damme amefariki alikua south afrika, au sio damme Ayubu Mkobo nn, huu ukoo ni noma wote walikua ni mipande ya watu yana Body sana, Baba yao mzee Mkobo nae alikua mtata alikua na Bittle ya Blue enzi za miaka 1995 kwao walikua na kigorifa Sinza nyuma fens ya Mawasiliano Posta(kwa wa Kush) sasahv Simu2000......
 
Huyu mbabe Ayubu Van Damme bado yupo hai au keshakufa na kama yuko hai yuko uraini au yuko jela bila Shaka atakuwa kashazeeka sana
 
Van dame wa bongo mara ya mwisho namuona alikua dereva au konda daladala za mwenge-posta, kakongoroka haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…