Azam acheni ubahili ajirini watangazaji wanaojua Kiswahili na Kifaransa mechi ya Tanzania na Congo ni kifaransa tu hamna mkalimani mnatia aibu
Media zingine pia achaneni na watangazaji wajua tu kiswahili na kingereza ajilini wanaojua mbali na kiswahili na kingereza wanajua kifaransa nk
Hao wengine akina Kitenge nk wawe tu wabwabwaja domo mechi za ndondo cup za mchangani
Ajirini watangazaji wanaojua lugha za kimataifa kwenye TV zenu
Azam leo mumetuaangusha watanzania ni aibu
Media zingine pia achaneni na watangazaji wajua tu kiswahili na kingereza ajilini wanaojua mbali na kiswahili na kingereza wanajua kifaransa nk
Hao wengine akina Kitenge nk wawe tu wabwabwaja domo mechi za ndondo cup za mchangani
Ajirini watangazaji wanaojua lugha za kimataifa kwenye TV zenu
Azam leo mumetuaangusha watanzania ni aibu