Azam angalieni ubora wa unga wenu wa ngano, kiwango cha ubora kimepungua

Azam angalieni ubora wa unga wenu wa ngano, kiwango cha ubora kimepungua

Mtu wa hekima

Member
Joined
Apr 14, 2024
Posts
29
Reaction score
40
Mimi nj mdau wa muda mrefu wa unga wa ngano wa Azam. Lakini kwa sasa unga wenu umepungua sana ubora.

Hauna ubora wa mwanzo umekua hauna quality umekua kama umechanganywa Na unga wa mahindi.

Ukiukanda unakua kama mpira halafu hata ukitengenezea Maandazi hayawi soft kama zamani Na unanyonya sana mafuta.

Tunaomba muangalie hili jambo maana unatuletea hasara sana hasa sisi wamiliki wa bekar.
 
Huwa nanunua mahindi nasaga mwenyewe Dona nalitengeneza mwenyewe

Ova
 
Mimi nj mdau wa muda mrefu wa unga wa ngano wa Azam. Lakini kwa sasa unga wenu umepungua sana ubora.

Hauna ubora wa mwanzo umekua hauna quality umekua kama umechanganywa Na unga wa mahindi.

Ukiukanda unakua kama mpira halafu hata ukitengenezea Maandazi hayawi soft kama zamani Na unanyonya sana mafuta.

Tunaomba muangalie hili jambo maana unatuletea hasara sana hasa sisi wamiliki wa bekar.
Hata mimi nimeona
 
Back
Top Bottom