Azam arejea kileleni baada ya mtibwa kukalia kuti kavu ndani ya chamanzi complex

Rajab Mponda

Member
Joined
Dec 13, 2015
Posts
36
Reaction score
2
Wana wa lambalamba kule pande za chamanz nje kidogo ya jij la dar es salaam jana walipata pataxhika nguo chanika kwa ushind mwembamba wakiwa wenyej pale chamanz kwa ushind wa 1-0 goli likifungwa na bocco adebayor kwa free kick mzur nje kidog ya ya kibox cha 18
 



thanx
 
Safi sana Azam hao Yanga wakikaa huko tunapata kichefuchefu.
 
Mechi na Kagera Sugar na hii dhidi ya Mtibwa zimedhihirisha Azam ni timu ya hovyo kabisa.
 
mkuu wewe sio mshabiki! Azam unasema ni timu ya hovyo

Mkuu ni kweli mimi sio shabiki wa Azam, lakini mawazo yangu yanatokana na soka bovu kabisa wanaloonyesha Azam. Mimi ni mpenzi wa ligi ya ndani ndio maana nafuatilia mechi zote
 
Mkuu ni kweli mimi sio shabiki wa Azam, lakini mawazo yangu yanatokana na soka bovu kabisa wanaloonyesha Azam. Mimi ni mpenzi wa ligi ya ndani ndio maana nafuatilia mechi zote


poa mkuu usijali...umejibu vizuri mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…