Rajab Mponda
Member
- Dec 13, 2015
- 36
- 2
Wana wa lambalamba kule pande za chamanz nje kidogo ya jij la dar es salaam jana walipata pataxhika nguo chanika kwa ushind mwembamba wakiwa wenyej pale chamanz kwa ushind wa 1-0 goli likifungwa na bocco adebayor kwa free kick mzur nje kidog ya ya kibox cha 18
Mechi na Kagera Sugar na hii dhidi ya Mtibwa zimedhihirisha Azam ni timu ya hovyo kabisa.
mkuu wewe sio mshabiki! Azam unasema ni timu ya hovyo
Mkuu ni kweli mimi sio shabiki wa Azam, lakini mawazo yangu yanatokana na soka bovu kabisa wanaloonyesha Azam. Mimi ni mpenzi wa ligi ya ndani ndio maana nafuatilia mechi zote