Wakati huo Simba ibaki na Ayubu?Azam wangewaambia Simba wawape Manura ambaye hatumiki kuliko kujaza makipa watatu wa kigeni.
FOBA ndo GK pekee alie ktk utimilifu! Ahmada na Idrisu wote ipo gonjwa Cape Town Matibabufoba yu wapi?
ndiyo ma GK wao wawili Ahmada & Idrisu wapo Matibabu SA, wamesalia na ZUBEIR FOBA pekee, means hawana Sub GK kwa SasaAzam again palepale kwa makipa!
nini athari za kuwa na ma GK wa3 wote wageni?Azam wangewaambia Simba wawape Manura ambaye hatumiki kuliko kujaza makipa watatu wa kigeni.
Unasajili wachezaji wangapi wa ndani wa kigeninini athari za kuwa na ma GK wa3 wote wageni?