Azam nikituko cha ligi, familia nzima ya bakharesa haina uweledi wa masuala ya kabumbu, wao wangezidi kujikita tu kwenye mambo ya ngano, vitumbua, chapati na juiceLeo Azam imecheza na Maafande wa Mbeya na wametoa draw. Chakushangaza sioni kwenye mitandao taarifa zao kutawala kumekuwa kimya,sana sana habari za Yanga tu ndiyo zimetawala. Draw ya pili kwa mfatano hakuna mashabiki wala wapenzi kukasirishwa tofauti ingekuwa Yanga au Simba. Team iliyowekeza vya kutosha kutoka sare za kiholela bado unataka Ubi gwa.Inamaana Azam ndiyo imepotezewa hivi haina mvuto ki hivi. Pamoja na Bangala na Faisali kuwepo kundini. Nimeamini wekeza uwezavyo hapa TZ Yanga Simba habari nyingine.
Ifike Mahala WanaYanga tuwe na Staha na tukubali kuendelea na Maisha bila Wachezaji walioondoka. Kuachana na Yanga inakuwa Gubu na Nongwa yaani Mashabiki wamejaa gubu na Wivu wa Kijinga.Leo Azam imecheza na Maafande wa Mbeya na wametoa draw. Chakushangaza sioni kwenye mitandao taarifa zao kutawala kumekuwa kimya, sana sana habari za Yanga tu ndiyo zimetawala.
Draw ya pili kwa mfatano hakuna mashabiki wala wapenzi kukasirishwa tofauti ingekuwa Yanga au Simba. Team iliyowekeza vya kutosha kutoka sare za kiholela bado unataka Ubi gwa.Inamaana Azam ndiyo imepotezewa hivi haina mvuto ki hivi.
Pamoja na Bangala na Faisali kuwepo kundini. Nimeamini wekeza uwezavyo hapa TZ Yanga Simba habari nyingine.
azam timu ndogoLeo Azam imecheza na Maafande wa Mbeya na wametoa draw. Chakushangaza sioni kwenye mitandao taarifa zao kutawala kumekuwa kimya, sana sana habari za Yanga tu ndiyo zimetawala.
Draw ya pili kwa mfatano hakuna mashabiki wala wapenzi kukasirishwa tofauti ingekuwa Yanga au Simba. Team iliyowekeza vya kutosha kutoka sare za kiholela bado unataka Ubi gwa.Inamaana Azam ndiyo imepotezewa hivi haina mvuto ki hivi.
Pamoja na Bangala na Faisali kuwepo kundini. Nimeamini wekeza uwezavyo hapa TZ Yanga Simba habari nyingine.
Unataka kunambia mkuu wanaoendesha team ni wao hawajaajiri wabobezi wa maeneo hayo? Basi watakuwa watu wa ajabu sana.Azam nikituko cha ligi, familia nzima ya bakharesa haina uweledi wa masuala ya kabumbu, wao wangezidi kujikita tu kwenye mambo ya ngano, vitumbua, chapati na juice
Wachezaji wote wa yanga wakiamia Azam na wachezaji wote wa Azam wakiamia yangaLeo Azam imecheza na Maafande wa Mbeya na wametoa draw. Chakushangaza sioni kwenye mitandao taarifa zao kutawala kumekuwa kimya, sana sana habari za Yanga tu ndiyo zimetawala.
Draw ya pili kwa mfatano hakuna mashabiki wala wapenzi kukasirishwa tofauti ingekuwa Yanga au Simba. Team iliyowekeza vya kutosha kutoka sare za kiholela bado unataka Ubi gwa.Inamaana Azam ndiyo imepotezewa hivi haina mvuto ki hivi.
Pamoja na Bangala na Faisali kuwepo kundini. Nimeamini wekeza uwezavyo hapa TZ Yanga Simba habari nyingine.