NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Ilikua ni ngumu sana kwa Simba sc kwenda kukaa mezani na Yanga sc hakika wasingeweza kumpata Feisal Salumu.
NALIA NGWENA nimekumbuka kilichotumika kwa Saidoo Ntibazonkiza baada ya kwenda Geita gold Kisha akarudi Simba SC.
Ndicho ninachokiona kwa Feisal Salumu Azam imetumika Kama njia maana ukitazama Azam hawana uhitaji wa Feisal Salumu kutokana na wachezaji walionao.
Kuanzia viungo wakabaji na viungo washambuliaji Azam Fc Wana quality players kushinda hata timu za kariakoo kwa hiyo Feisal Salumu kwenda Simba Sc ni suala la muda tu.
Nawasilisha hoja.
NALIA NGWENA nimekumbuka kilichotumika kwa Saidoo Ntibazonkiza baada ya kwenda Geita gold Kisha akarudi Simba SC.
Ndicho ninachokiona kwa Feisal Salumu Azam imetumika Kama njia maana ukitazama Azam hawana uhitaji wa Feisal Salumu kutokana na wachezaji walionao.
Kuanzia viungo wakabaji na viungo washambuliaji Azam Fc Wana quality players kushinda hata timu za kariakoo kwa hiyo Feisal Salumu kwenda Simba Sc ni suala la muda tu.
Nawasilisha hoja.