Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
HUNA AKILI NA HUJUI ULISEMALOIla Nyuzi za mashabiki WA Yanga ZIMEkaa kitoto sana.
Nimejaribu kufuatilia sana Kila nikiingia hapa jukwaani.
Kuna watu watatu Hivi.
Unaweza UKAJUA ni mtu mmoja lakini ni watatu.
AKILI ZAO NI FINYU MNO.
NGOJA SIMBA WATAKAPO MSAJILI FEISAL NI SUALA LA MUDA TU.Vitu vingine bana ni nadharia za kipuuzi kabisa....!!, Saido katoka yanga kaenda Geita, Kama Simba wangemhitaji wakati anaenda Geita wasimgempata?.
Kwahiyo Azam wao hawana nia yakuwa na wachezaji wazuri?,kwamba wanatumika na Simba?. Hebu tupe mfano mmoja wa mchezaji wa namna hiyo aliyetoka Azam kwenda Simba?.
WEKA HOJA ZAKO ZA CHUOKuna hoja nyingine humu unaweza kudhani pzimeletwa na Mtoto wa chekechea.
Awezi kwenda Simba vipengele vya kimkataba vinawabana Azam, nafikiri Kila yanga inapokaribiaga kucheza na Azam uwa yanaibuka ya Feisal!Ilikua ni ngumu sana kwa Simba sc kwenda kukaa mezani na Yanga sc hakika wasingeweza kumpata Feisal Salumu.
NALIA NGWENA nimekumbuka kilichotumika kwa Saidoo Ntibazonkiza baada ya kwenda Geita gold Kisha akarudi Simba SC.
Ndicho ninachokiona kwa Feisal Salumu Azam imetumika Kama njia maana ukitazama Azam hawana uhitaji wa Feisal Salumu kutokana na wachezaji walionao.
Kuanzia viungo wakabaji na viungo washambuliaji Azam Fc Wana quality players kushinda hata timu za kariakoo kwa hiyo Feisal Salumu kwenda Simba Sc ni suala la muda tu.
Nawasilisha hoja.
VIPI KUHUSU RAGE??Huu ujinga na kukurupuka sio watatu ni wengi tu.Gongowazi likija la timu yao wote machizi tu hata kama akili zinafanya kazi kwingineko.Haji Manara ni saa mbovu lakini kwenye hili alisema kweli.
VIPI KUHUSU RAGE??
Nakujulisha rasmi kwamba moja Kati ya masharti ya Mkataba linaihusisha ridhaa ya timu yake ya zamani.WEKA HOJA ZAKO ZA CHUO
Aisee.......Ilikua ni ngumu sana kwa Simba sc kwenda kukaa mezani na Yanga sc hakika wasingeweza kumpata Feisal Salumu.
NALIA NGWENA nimekumbuka kilichotumika kwa Saidoo Ntibazonkiza baada ya kwenda Geita gold Kisha akarudi Simba SC.
Ndicho ninachokiona kwa Feisal Salumu Azam imetumika Kama njia maana ukitazama Azam hawana uhitaji wa Feisal Salumu kutokana na wachezaji walionao.
Kuanzia viungo wakabaji na viungo washambuliaji Azam Fc Wana quality players kushinda hata timu za kariakoo kwa hiyo Feisal Salumu kwenda Simba Sc ni suala la muda tu.
Nawasilisha hoja.
fei na saidoo waliondoka yanga kwa namna tofauti sana mmoja aliachwa na timu mwingine aliiacha timu,hiyo comparison umechemka sanaIlikua ni ngumu sana kwa Simba sc kwenda kukaa mezani na Yanga sc hakika wasingeweza kumpata Feisal Salumu.
NALIA NGWENA nimekumbuka kilichotumika kwa Saidoo Ntibazonkiza baada ya kwenda Geita gold Kisha akarudi Simba SC.
Ndicho ninachokiona kwa Feisal Salumu Azam imetumika Kama njia maana ukitazama Azam hawana uhitaji wa Feisal Salumu kutokana na wachezaji walionao.
Kuanzia viungo wakabaji na viungo washambuliaji Azam Fc Wana quality players kushinda hata timu za kariakoo kwa hiyo Feisal Salumu kwenda Simba Sc ni suala la muda tu.
Nawasilisha hoja.
faitoto wamchukue tu, hana maana. ila akienda simba, atakaa sana bench kwasababu simba kuna watu bora kuliko yeye wengi.Ilikua ni ngumu sana kwa Simba sc kwenda kukaa mezani na Yanga sc hakika wasingeweza kumpata Feisal Salumu.
NALIA NGWENA nimekumbuka kilichotumika kwa Saidoo Ntibazonkiza baada ya kwenda Geita gold Kisha akarudi Simba SC.
Ndicho ninachokiona kwa Feisal Salumu Azam imetumika Kama njia maana ukitazama Azam hawana uhitaji wa Feisal Salumu kutokana na wachezaji walionao.
Kuanzia viungo wakabaji na viungo washambuliaji Azam Fc Wana quality players kushinda hata timu za kariakoo kwa hiyo Feisal Salumu kwenda Simba Sc ni suala la muda tu.
Nawasilisha hoja.