Azam FC OUT Africa

Azam FC OUT Africa

Joined
Jul 9, 2013
Posts
14
Reaction score
1
Azam imetolewa rasmi kwenye michuano ya Klabu bingwa Africa baada ya kufungwa goli 3-0 na El Merreikh ya Sudani mjini Khartoum katika mchezo Wa marudiano hivyo Azam fc imetolewa kwa jumla ya goli 3-2 baada ya kushinda 2-0 Nyumbani
Timu za kibongo bana wapemba nao nje dah
 
Azam imetolewa rasmi kwenye michuano ya Klabu bingwa Africa baada ya kufungwa goli 3-0 na El Merreikh ya Sudani mjini Khartoum katika mchezo Wa marudiano hivyo Azam fc imetolewa kwa jumla ya goli 3-2 baada ya kushinda 2-0 Nyumbani
Timu za kibongo bana wapemba nao nje dah

ah ah mkuu umenchekesha eti wapemba nao njee,shikamoo
 
Wachezaji Azam hawamtendei haki mmiliki wa timu, mishahara mizuri ya uhakika,na kila wanachohiaji,lakini matokeo utumbo mtupu
 
Back
Top Bottom