GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mpaka mkichana na Kusajili Virusi wa Simba na Yanga huku pia mkiwa na Viongozi Waandamizi wenye Uyanga na Usimba mwingi.
Ninawashangaa mno mnavyosajili.
Ninawashangaa mno mnavyosajili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unaamini kikosi cha Azam kulikua Bora kuliko cha Simba ?? Hebu fafanuaShida ya Azam wanajiingiza kwenye mpira wa siasi kama Simba na Yangu piah Azam hawana mashabiki wa kuwapigia kilele kipindi ambapo timu inafanya vibaya kwa kikosi chake cha msimu uliyo pita ndio kingekuwa cha simba ,simba ingechukua ligi kuu
Unadhani kimataifa ni simple namna hiyo,kweli kinyesi fc mna tabu nyieeeWenzako wanawaza kimataifa zaidi.yaani sijui haya makolo kolo yanawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili.
Hakuna kitu kama hicho mkuu,ulaya hakuna ujinga ujinga kama huku,huu usimba na uyanga ndo unawa cost sana timu ndogo.Kile kipindi cha Manchester united ya Feguerson imetawala soka la England, Mashabiki wa United wangewez kukuona Chizi au hujui kabisa mpira kama ungewaambia iko siku Mancity nayo ita dominate Premier na kuwa galagaza kabisa akina Man u, liverpool, Chelsea na wengine. Nataka kusema nini....?? Mpira ni uwekezaj + Mda tu, au rejea kule South.....Mamelod Sundown alivyopindua utawala wa vigogo. Azamfc anawatafuta sana Simba na Yanga ni suala la mda tu.
Sajili vizuri ufike tena robo ujisifu mb.u.lula weweUnadhani kimataifa ni simple namna hiyo,kweli kinyesi fc mna tabu nyieee