mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kocha wa Azam P didy wa bongo zikibaki dakika kumi mpira kuisha huwa anainama kuomba dua muujiza utokee badala ya kuwapa morari wachezaji wake lakini wapi pumzi ya moto wanapelekewa,anafaa kuwa mwana hip hop ila sio mpira Aggrey Moris na wazee wenzake mafao yao pale Nsssf yameiva.
Aliyegundua icecream za ukwaju ana akili kuliko viongozi wa Azam FC.
Mnawapa shida wachambuzi wa Azam Tv kuwatetea wakati wa uchambuzi ikizingariwa wote watoto wa baba mmoja.
Aliyegundua icecream za ukwaju ana akili kuliko viongozi wa Azam FC.
Mnawapa shida wachambuzi wa Azam Tv kuwatetea wakati wa uchambuzi ikizingariwa wote watoto wa baba mmoja.