Azam FC wana tatizo gani?

katto14

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2016
Posts
226
Reaction score
62
hivi hawa azamfc tatizo nini hasa pamoja na uwekezaji mkubwa uliofanywa lakini bado hafanyi vizuri mechi za kimataifa dah tatizo nini jamani man uwanja wa kisasa wachezaji wa kimataifa lakini bado tu aaah acheni kuzingua
 
Ni ukweli kabisa lakini kuna jambo la kutafakari Azam inataka kufanikiwa kimataifa angalau wacheze kwenye makundi napo bado wameshindwa. La kujiuliza wachezaji kama kipre cheche au pascal wawa waondoke Azam??? Je kuna nini Azam?? Usajili wao bado wanachukua wachezaji wa kawaida sana ina maana hawawekezi sana ktk usajili?? Au viongozi wao wana udalali udalali?? Azam bado wana changamoto na mara nyingi wakisajili mchezaji kiwango chake kina anguka. Wajitafakari na wawe serious hassa kwenye uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…