Ni ukweli kabisa lakini kuna jambo la kutafakari Azam inataka kufanikiwa kimataifa angalau wacheze kwenye makundi napo bado wameshindwa. La kujiuliza wachezaji kama kipre cheche au pascal wawa waondoke Azam??? Je kuna nini Azam?? Usajili wao bado wanachukua wachezaji wa kawaida sana ina maana hawawekezi sana ktk usajili?? Au viongozi wao wana udalali udalali?? Azam bado wana changamoto na mara nyingi wakisajili mchezaji kiwango chake kina anguka. Wajitafakari na wawe serious hassa kwenye uongozi.