Azam FC yamtangaza kocha wake mpya, Mfaransa Denis Lavagne

Azam FC yamtangaza kocha wake mpya, Mfaransa Denis Lavagne

Jayden News

Member
Joined
Aug 28, 2022
Posts
29
Reaction score
94
Klabu ya Azam imemtangaza Denis Lavagne (58) Raia wa Ufaransa kuwa Kocha wao Mkuu akirithi mikoba ya Abdihamid Moalin, Lavagne ana uzoefu na soka la Afrika kwa miaka zaidi ya 14 toka alipoanza kuifundisha Coton ya Cameroon (2007-2011) na baadaye USM Alger ya Algeria.

065766D2-6E89-4F81-A15B-35F108F21969.jpg
 
Back
Top Bottom