KWANI LINI MMEWAHI KUPATA HATA IYO NAFUU....?Kwahali hii sijui kama tutapona!!!
Labda kushinda kwenye mataaSimba ushindi lazima
Tunapona vizuri tu MkuuKwahali hii sijui kama tutapona!!!
Mkuu unatupigia kelele tunazama mpiraLICHA YA KUWA REFA ANAWABEBA SANAAAAAA.....HAWA SIMBA WA KUCHORA WANARUDI BARA MIKONO MITUPU....😀
Kwani mpira umeishaUNASEMA USHINDI LAZIMA....
AKATI MMESHAPIGWA CHA UKWEZI.....
🙁
Dkk bado mkuu.Hahahahah kama kawaida yao, mikia wameukimbia uzi wao. Azam ndiyo habari ya Zenji na Dar...
Mkaanga sumu weyeAzam wamekuja kusawazisha zile penati mlizowafunga Yanga[emoji23][emoji23]
Labda ubingwa wa virobaTunasawazisha dkka ya 90 tunaenda matuta,tunachukua ubingwa
Are u serious[emoji23] [emoji23]Simba ushindi lazima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkaanga sumu weye
Goli la kwanza tamu wewe, halafu goli hili lina ice-cream yenye ladha ya Vanilla. Utamu wake mtausikilizia mpk mnafika mitaa ya Msimbazi...Dkk bado mkuu.
Tulia Tizama mpira
karibu juisi [emoji485] [emoji485]