Azam FC yazindua rasmi Jezi mpya ya msimu wa 2022/2023

Habari ya uzuzri wa jezi Kila mtu anakubali Chama lake na kuponda ya mwenzake.. Obviously ni wivu tu.. naona Makolo wamekaza fuvu kuponda jezi ya Yanga... Hata dukani Kila mtu anapenda akipendacho kama Makolo wanavyopenda Mikia huko nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…