Azam Group wawanyang'anya IPP wafanyakazi wa kumwaga

Azam Group wawanyang'anya IPP wafanyakazi wa kumwaga

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia Kwenu wana JF,
Kampuni ya Azam inayomilikiwa na Le Grande Mupao Severee Mwonkozi Said Salim Bakhresa imewakwapua wafanyakazi matata wa IPP inayomilikiwa na Dr.Mengi,Wafanyakazi waliolamba mikataba minono kutoka Azam ni Zainab Chondo,Rehema Salim,Adrian Hillary Step pamoja na Patrick(Sports),ili ni pigo jingine kwa IPP.
 
Huyu bosi wa IPP inasemekana anawapunja wafanyakazi wake
 
Mkuu hao mbona wameondoka kitambo? Labda utwambie mkataba mnono ni Tsh ngapi? Ukimuondoa Patrick hao wengine sijaona pengo lao!
 
Mkuu hao mbona wameondoka kitambo? Labda utwambie mkataba mnono ni Tsh ngapi? Ukimuondoa Patrick hao wengine sijaona pengo lao!

Hot mix ya Adrian Fatna Ramole na Anna Mbajo ni sawa na Hii ya sasa ambapo mdau alisema Eatv sasa imeishiwa presenters kwakua inaweka watangazaji wenye personalities kama waimba kwaya? Acha nyodo binti wa kihaya..
 
Hot mix ya Adrian Fatna Ramole na Anna Mbajo ni sawa na Hii ya sasa ambapo mdau alisema Eatv sasa imeishiwa presenters kwakua inaweka watangazaji wenye personalities kama waimba kwaya? Acha nyodo binti wa kihaya..
Kwa mtu anaye fatilia Hot mix atakubaliana nami kuwa waliopo wanafit zaidi! Belinda semtande ana uwezo wa kujenga hoja kuzidi huyo Fatma! Na Adrian hatii mguu kwa yule aliyopo na waulize watu wanao fatilia kipindi watakwambia! Hakuna pengo la Adrian wala Fatima!
Kwakuwa umeshindwa kujenga hoja umeanza mashambulizi naomba nojitoe kwenye huu mjadala! Ukiwa tayari kwa mjadala bila matusi nitarudi!
 
Kwa mtu anaye fatilia Hot mix atakubaliana nami kuwa waliopo wanafit zaidi! Belinda semtande ana uwezo wa kujenga hoja kuzidi huyo Fatma! Na Adrian hatii mguu kwa yule aliyopo na waulize watu wanao fatilia kipindi watakwambia! Hakuna pengo la Adrian wala Fatima!
Kwakuwa umeshindwa kujenga hoja umeanza mashambulizi naomba nojitoe kwenye huu mjadala! Ukiwa tayari kwa mjadala bila matusi nitarudi!

Mkuu umejib kistaarabu mno, ubarikiwe sana.
 
Kwa mtu anaye fatilia Hot mix atakubaliana nami kuwa waliopo wanafit zaidi! Belinda semtande ana uwezo wa kujenga hoja kuzidi huyo Fatma! Na Adrian hatii mguu kwa yule aliyopo na waulize watu wanao fatilia kipindi watakwambia! Hakuna pengo la Adrian wala Fatima!
Kwakuwa umeshindwa kujenga hoja umeanza mashambulizi naomba nojitoe kwenye huu mjadala! Ukiwa tayari kwa mjadala bila matusi nitarudi!

Tofauti kati ya samson na adrian ni moja Sam hana convincing journalistic profile comparing to the chap..kipindi hot mix ya akina Adrian thread tofauti zilikua jamviini juu ya maswali magumu kwa wageni has a wasiasa..hakuna kitu muhim kwa mtangazaji kama convincing power..ni sawa na Gardner ambaye kipindi cha kili cha TV anapwaya kwakua tu sauti yake haina msisitizo! Sam anafaa kua co host na sio main anchor kwasababu kuu moja..zero convincing power haya sasa rudi kwenye Uzi wa bring back our Chanel.5!
 
hee rehema salim kaondoka?

Yap kasepa namuona anatangaza taarifa ya habari kuanzia saa moja na patrick yupo sports @ 8 ,chondo na Hillary wapo Jioni mpaka saa moja usiku catch them on AZAM TWO
 
Mkuu hao mbona wameondoka kitambo? Labda utwambie mkataba mnono ni Tsh ngapi? Ukimuondoa Patrick hao wengine sijaona pengo lao!

Mkubwa unataka kuniambia Rehema ameondoka kitambo ITV? Mie ninayo Records yake akisoma habari hapa na pale ITV kama ya wiki mbili hivi na ndio maana siku hizi anasoma Farhia medree,aliyeondoka kitambo ni Adrian Stepp tu lakin wengine ni wapya.
 
EFM nayo imevuna ITV kina Abubakary Lyongo na mwenzake na sasa wanataka kuhamia Clouds Fm wanamtaka Millard Ayo, wao wanatoa mshahara mnono nyumba na gari.
 
Mkubwa unataka kuniambia Rehema ameondoka kitambo ITV? Mie ninayo Records yake akisoma habari hapa na pale ITV kama ya wiki mbili hivi na ndio maana siku hizi anasoma Farhia medree,aliyeondoka kitambo ni Adrian Stepp tu lakin wengine ni wapya.

Mkuu tatizo la Ruta haraki kuamini kwamba vyombo vya habari vya IPP ni sawa na soccer academy tu wanatrain watu kisha wanasepa...imagine akina Flora Nducha mkuu wa Idhaa ya Kiswahili UN Charles Hilary kikeke Abdul Mohd sudy mnete nk..sasa wameondika vijana wa nyakati hizi akina Allan Adrian Sebastian Patrick nk anaanza kulialia
 
Back
Top Bottom