Azam Imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
DONE DEAL βœ…

Tumefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) ya kumsajili kiungo mshambuliaji wao, Franck Tiesse.

Nyota huyo Muivory Coast, amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili utakaonza rasmi msimu ujao 2024/25.

Welcome to Azam FC, Tiesse! πŸ‘


 
Mwakani tutajipigia simba na yanga mpaka waombe pooh!
 
Hiyo timu ndio Yanga walimtoa yule beki MAMADOU DOUMBIA hata kuzima mpira hawezi. Yuko AVIC TOWN NI MPISHI WA MAJINI.

KONKONI ni Mkata Magogo ya kupikia.
KAMBOLE ni Muosha Vyombo.
GIFT FRED ni Mfua nguo zao.
Halafu utakuta jitu na Vindevu uchwala vyake ooooh JOBE JOBE maninaaaaaaa! Huyo Kambole yuko wapi, huyo Konkoni je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…