Azam kuweni makini, Utopolo wamejaza waganga kibao Tanga, kazi mnayo jumatatu mkwakwani

Azam kuweni makini, Utopolo wamejaza waganga kibao Tanga, kazi mnayo jumatatu mkwakwani

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Msiwaone wachezaji wa Utopolo wako dar wanashangilia ushindi Leo jumamosi wakat jumatatu wanacheza fainal na ninyi, wenzenu wanategemea sana mambo nje ya uwanja, hakuna kingine ni waganga tu, wale waganga wao mliowaomba wawasaidie kuwafunga Simba kule mtwara wamekuja nao Tanga na wanajua mambo yenu A to Z.

Nawashauri ongezeni zaid wataalamu, wenzenu wamewadharau sana kwa sababu haiwezekani wacheze fainal j3 halaf had ss hv wako jangwani wanashangilia ubingwa, wameshajihakikishia kuwakanda j3.

Lingine kuna watu wenu katika kampuni wanauza ishu, kila mnapocheza na utopolo wao wanawaeleza viongozi wa utopolo mambo yote mnayofanya, fukuzeni kazi baadhi ya watumishi, ni wasaliti.

Kama nabisha subirini jumatatu mtaona.
 
Ni uchizi tu, watu Wana overate sana vitu sijui kwanini
By the way mi naipenda yanga lakini hua sipo in touch nayo sana yaan naichukulia kawaida pia sijawahi kua na chuki na Simba hata kidogo!
Mambele npo na man U na Madrid, Man U tukishinda lazima nisumbue kidogo ikifungwa namute🤣

Ukiwa serious nayo sana unajiumiza buree na wakati wahusika wote wa team kuanzia management, technical bench na wachezaji wanalipwa vzr posho kibao plus bonus
 
Msiwaone wachezaji wa Utopolo wako dar wanashangilia ushindi Leo jumamosi wakat jumatatu wanacheza fainal na ninyi, wenzenu wanategemea sana mambo nje ya uwanja, hakuna kingine ni waganga tu, wale waganga wao mliowaomba wawasaidie kuwafunga Simba kule mtwara wamekuja nao Tanga na wanajua mambo yenu A to Z.

Nawashauri ongezeni zaid wataalamu, wenzenu wamewadharau sana kwa sababu haiwezekani wacheze fainal j3 halaf had ss hv wako jangwani wanashangilia ubingwa, wameshajihakikishia kuwakanda j3.

Lingine kuna watu wenu katika kampuni wanauza ishu, kila mnapocheza na utopolo wao wanawaeleza viongozi wa utopolo mambo yote mnayofanya, fukuzeni kazi baadhi ya watumishi, ni wasaliti.

Kama nabisha subirini jumatatu mtaona.
unavuta bangi ya majani au ya mbegu?

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
By the way mi naipenda yanga lakini hua sipo in touch nayo sana yaan naichukulia kawaida pia sijawahi kua na chuki na Simba hata kidogo!
Mambele npo na man U na Madrid, Man U tukishinda lazima nisumbue kidogo ikifungwa namute[emoji1787]

Ukiwa serious nayo sana unajiumiza buree na wakati wahusika wote wa team kuanzia management, technical bench na wachezaji wanalipwa vzr posho kibao plus bonus
Upo sahihi, Mimi Kuna miaka ya hivi karibuni niliwahi kuwa na ushabiki kupitiliza ,
Basi Kuna mwanangu mmoja huwa tunaenda wote kutazama mpira kwenye Banda umiza, basi Mimi Yanga yeye Simba.

Basi mechi iliisha Simba kuibuka na ushindi wa goli tano , Emanuel Okwi akiwa kwenye kiwango bora.

Baada ya mechi kuisha nilienda kwenye gari nikaingia mchizi naye anataka kuzama kwenye gari kwakuwa tuliishi mtaa mmoja,hivyo anataka turudi wote kama tulivyokuja nikamzuia, nikamwambie aachane na Mimi na atafute usafiri mwingine.
Nimekasirika, nimefura ile mbaya.

Mchizi alishangaa sana, lakini Mimi nikakanyaga mafuta nikaishia,

Lakini usiku wa siku hiyo siku na amani kwa kitendo nilichomfanyia mchizi wangu, nilijuta sana, asubuhi nilienda kazini kiunyonge na nikijaribu kumpigia simu anakata, nikaamua kumuibukia nyumbani kwake, nakumbuka licha ya kujieleza na kuomba msamaha sana, lakini akawa mgumu , nikatumia busara nyingi sana hatimaye tukarudisha urafiki wetu, tangu hapo hii mipira nashabikia juujuu tu.
 
Don't worry hilo kombe tunalipekeka chamazi.bado sopu yupo😎😎😎
 
Upo sahihi, Mimi Kuna miaka ya hivi karibuni niliwahi kuwa na ushabiki kupitiliza ,
Basi Kuna mwanangu mmoja huwa tunaenda wote kutazama mpira kwenye Banda umiza, basi Mimi Yanga yeye Simba.

Basi mechi iliisha Simba kuibuka na ushindi wa goli tano , Emanuel Okwi akiwa kwenye kiwango bora.

Baada ya mechi kuisha nilienda kwenye gari nikaingia mchizi naye anataka kuzama kwenye gari kwakuwa tuliishi mtaa mmoja,hivyo anataka turudi wote kama tulivyokuja nikamzuia, nikamwambie aachane na Mimi na atafute usafiri mwingine.
Nimekasirika, nimefura ile mbaya.

Mchizi alishangaa sana, lakini Mimi nikakanyaga mafuta nikaishia,

Lakini usiku wa siku hiyo siku na amani kwa kitendo nilichomfanyia mchizi wangu, nilijuta sana, asubuhi nilienda kazini kiunyonge na nikijaribu kumpigia simu anakata, nikaamua kumuibukia nyumbani kwake, nakumbuka licha ya kujieleza na kuomba msamaha sana, lakini akawa mgumu , nikatumia busara nyingi sana hatimaye tukarudisha urafiki wetu, tangu hapo hii mipira nashabikia juujuu tu.
Dah! hapo kiume zaidi, sema mpira ni mpira tu Kuna muda mahaba yatarudi
 
Jumatatu finali? Kazini jee?

Ama ilikuwa ni kuwakomoa yanga
 
Msiwaone wachezaji wa Utopolo wako dar wanashangilia ushindi Leo jumamosi wakat jumatatu wanacheza fainal na ninyi, wenzenu wanategemea sana mambo nje ya uwanja, hakuna kingine ni waganga tu, wale waganga wao mliowaomba wawasaidie kuwafunga Simba kule mtwara wamekuja nao Tanga na wanajua mambo yenu A to Z.

Nawashauri ongezeni zaid wataalamu, wenzenu wamewadharau sana kwa sababu haiwezekani wacheze fainal j3 halaf had ss hv wako jangwani wanashangilia ubingwa, wameshajihakikishia kuwakanda j3.

Lingine kuna watu wenu katika kampuni wanauza ishu, kila mnapocheza na utopolo wao wanawaeleza viongozi wa utopolo mambo yote mnayofanya, fukuzeni kazi baadhi ya watumishi, ni wasaliti.

Kama nabisha subirini jumatatu mtaona.
Hopeless
 
Hii game itakuwa ngumu kwa upande wa Young Africans, Azam wamepania sana na Yanga watakuwa kwenye fatique
 
Utapigwa mpira na yanga atashinda
Azam bado team ndogo
 
Back
Top Bottom