Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee, bas huo uwanja wasiutumie tenaUwanjawa uhuru upo karibu na kambi ya jeshi hivyo jeshi limekataza kurusha kwa kutumia baadhi ya kamera ambazo zinaubora wa juu
Na mpira wa jana je wa Yanga na Namungo mbona ilikuwa pia camera kama kigiza flan au nayo utasema jeshi au usiku? Ukiona mdau anakuambia kasoro ni vizuri kuchukua mrejesho na kuufanyia kazi.Uwanjawa uhuru upo karibu na kambi ya jeshi hivyo jeshi limekataza kurusha kwa kutumia baadhi ya kamera ambazo zinaubora wa juu
Na mpira wa jana je wa Yanga na Namungo mbona ilikuwa pia camera kama kigiza flan au nayo utasema jeshi au usiku? Ukiona mdau anakuambia kasoro ni vizuri kuchukua mrejesho na kuufanyia kazi.
Mpaka leo kada wa CCM bado unatumia Tecno POP B1c?Naangalia match ya Simba vs Coastal Union, camera za Azam leo ni Cristo puuzi mtupu huwezi kuona vyema.
Tatizo hili lipo kila match ila leo mmezingua sana.
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Azam ni zeroNaangalia match ya Simba vs Coastal Union, camera za Azam leo ni Cristo puuzi mtupu huwezi kuona vyema.
Tatizo hili lipo kila match ila leo mmezingua sana.
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Na mpira wa jana je wa Yanga na Namungo mbona ilikuwa pia camera kama kigiza flan au nayo utasema jeshi au usiku? Ukiona mdau anakuambia kasoro ni vizuri kuchukua mrejesho na kuufanyia kazi.