Azam marine watu wenu wa mizigo wanatia aibu, wabadilike

Azam marine watu wenu wa mizigo wanatia aibu, wabadilike

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Inasikitisha kampuni kubwa kama hii watu wa mizigo badala ya kushusha wanaanza kuuliza watu mzigo wako ukohapa ndio wanashusha

Aibu kubwa sana

Mbadilike ati
 
YAAN AKJIBU MTU WANGU WANAMWITA POTA SIJUI WANAKULA NAO BEBAA HUOOO WHY

WAJIBU WAO KUSHUSHA MIZIGO YOOOTE THEN WATU WAKAGUE MIZIGO YAO
 
Umedata kama Kadata wa T.R.A[Tanzania Revenue Authority],,Mamlaka ya Mapato ya Tanzania.
 
Hata samaki wanavaa shati muda huo pikipiki imekamatwa na trafik ndo wanauliza kama bunge limepitisha bajeti huku manunited imebeba FA Cup maisha nayo unapiga nayo picha huku yamenyonga tai ndo pale tunakula karanga wakati uji upo kwenye rejeta
 
Uncle ni lazima wakuulize, useme ni wako wakukabidhi kuepusha upotevu wa mizigo. Wakishusha yote na mzigo ukipotea, hiyo inakuwa shida kwao. Naona kama wako sawa tu.
 
Chawa wamekuwa wengi sana bandariniii
 
Back
Top Bottom