Hata samaki wanavaa shati muda huo pikipiki imekamatwa na trafik ndo wanauliza kama bunge limepitisha bajeti huku manunited imebeba FA Cup maisha nayo unapiga nayo picha huku yamenyonga tai ndo pale tunakula karanga wakati uji upo kwenye rejeta
Uncle ni lazima wakuulize, useme ni wako wakukabidhi kuepusha upotevu wa mizigo. Wakishusha yote na mzigo ukipotea, hiyo inakuwa shida kwao. Naona kama wako sawa tu.