G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Ni kma Wana upungufu wa vifaaYaaani hili tatizo nimeliona tangia mechi ya simba na Salem view.Sasa kitim timu kikaja usiku kati ya Yanga na jang'ombe picha ni mbaya(focus) halafu watu unawaona kwa mbali hata goli likifungwa unasubiri marudio ya picha ili uone vizuri.
Kweli kabisa mkuuAzam wabadilike.....
Hizi mechi sio hisani ni biashara wanakula pesa zetu....
Nunua TV kubwa acha makasiriko bro!Naangalia hpa mechi ya Azam-Namungo, yaani picha zinavyo onekana utafikir ni Kamera moja iliyowekwa juu ya jukwa, image inaoneshwa watu wako mbali, mbna mnafeli hivyo? Kwani mkiweka Kamera za kueleweka hpa kuna tatizo gani? Timu zipo sehemu moja, hapa ndipo tungeweza kuona picha nzuri make hata ligi imesimama hivyo kila kitu kinge base hapa, unaangalia mechi utafikir upo Jukwaani juu, unaona tu vichwa vya wachezaji. Badilikeni!!!
TV kubwa inabadili quality ya picha?Nunua TV kubwa acha makasiriko bro!