Swali langu ni kuwa hata dstv huwa muda mwingine anachukua matangazo ya live from skysport....sasa kwann bakhresa asiweke ktk king'amuzi chake hizo Chanel za bein sports????
Swali langu ni kuwa hata dstv huwa muda mwingine anachukua matangazo ya live from skysport....sasa kwann bakhresa asiweke ktk king'amuzi chake hizo Chanel za bein sports????
Sijaelewa mkuu, kwani tenda ya kuonesha EPL mpaka ipewe kampuni moja tu? DSTV si wanaweza kuendelea kuonesha na Azam na wenyewe wakapewa haki ya kuonesha:what:
Tenda huwa anapewa mmoja tu. Halafu kama Kuna mwingine inabidi aingie mkataba na aliyeshinda tenda. Kwa mfano hapa Tanzania Azam ndiye ana haki ya kuonesha Vodacom premier league ya Tanzania. Yoyote mwingine akitaka kuonesha lazima aingie mkataba na Azam tv, yaani atakuwa anamlipa Azam tv.
Mkuu nadhani unajua hawa wenzetu walivyogawana mkoloni na mpaka sasa kwenye biashara hali ni hiyo hiyo.Swali langu ni kuwa hata dstv huwa muda mwingine anachukua matangazo ya live from skysport....sasa kwann bakhresa asiweke ktk king'amuzi chake hizo Chanel za bein sports????
mnazijua bei za kuonyesha epl live mechi zote? msikurupuke wakuu dstv wamejipanga. isije kua yale ya tbc kuonesha epl kwa wiki mechi moja game yenyewe unakuta ni ya relegation battle teams. tbc walihojiwa vipi kuhusu kuonyesha mechi zote wakadai expense zake itabidi nchi iuze mbuga ya wanyama every season!kwa izi ela za madafu wanazochaji azam, bakhresa akionyesha epl for ten consecutive seasons atarudi kwao uarabuni na ngalawa!
TPLTaja mfano wa ligi nzuri Africa kuliko EPL
Chukua team yeyote ya ligi kuu nchini uholanzi ukaichezeshe na tot ya uingereza tu mechi ya mashindano ikishinda njoo uchukue ving'amuzi vi3 vya azamtvKwa kweli umesema jambo la haki. Kila nikiangalia kwa mfano ligi ya Uholanzi (kwenye Fox Sports ya Azamtv), standard za mpira ni kubwa sana hata kuliko za huko England
Kwa nchi za sub sahara haki ya kuonyesha epl haitolewi kwa nchi moja moja kama uko nigeria bali inatolewa kwa ukanda mzimaNadhani kunakitu hakijawa sahihi hapa. Watu hawataki kufanya utafiti kabla hawajaleta taarifa ambazo hazina ukweli wa kitaalamu.
Miaka 8 iliopita pale Nigeria kuna local tv yaitwa Htv ....hii ndio ilipata exclusive rights za kurusha epl kwa miaka mitatu kwa Nigeria tu. Dstv walihangaika sana maana soko la Naiga ni kubwa na middle class ni wengi. Hata hivyo Htv walititiniwa tena na multichoice.
Hivyo basi Azam anaweza in tye coming years kupata hii kitu atleast kwa Tz. Tusubiri.
BTW yule CEO wa azam ndo mastermind na ndiye alikuwa market strategist wa GTV.
nawaza DSTV sababu nakos Champions league + epl na laliga labda,,,but star time napata BUNDESLOOGA, SERI Ana LEAGUE 1, sijajua kuhusu AZAM maana sijawahi kuwa nacho...ila AZAM NI WABUNIFU yani wakisema tu wanaonesha Champions league baasi watanikamata.....anyway si mtu wa tv sana ila sports sana hasa soccer ...hizo chanel za documentaries national geo za katuni zote au watoto etc nazipenda sana but zpataikana angalau karibia vingamuzi vyote...so good work AZAMMi nadhani walichofanya azamtv kizuri ni kutafuta KWANZA bei ya huduma. Kisha wakaamua kuwa bei ndogo sio huduma hafifu. Waliowengi wanawapenda DSTV kwa LIGI YA UINGEREZA tu. Zipo program kama Nat. Geo. Wild na BBC series kama Entertainment, Knowledge etc ni za "Elite". Lakini bei ya DSTV bei ya kuiona Ligi ya Uingereza Live bei yake inajulikana.
Kwa bahati mbaya watazamaji wa tv nyumbani 80-90% ya muda wote ni dada zetu, wake zetu, mama zetu na wadogo zetu. Hawa kwa muda mwingi hawana haja ya Premier League, BBC Knowledge, wala History Channel. Na hawa ndio wanaowanyima DSTV usingizi. Kwa vile yale yoote wanayotaka kwa sasa yapo Azamtv. Hata kama una DSTV nguvu ya wadau hawa ni kwamba lazima uwaletee Azamtv, we kaa na Chelsea au Man U zako!!!!
Kweli kabisa na hii ndio business strength ya company ya AzamAZAM TV anachokifanya nikutafuta wateja nje ya tz, akichukua leseni ya kuonesha ligi ya uganda, kenya na kwingineko tayari watu wa nchi husika watalazimika kununua king'amuzi cha AZAM TV hivyo suala la coverage atakuwa analimaliza taratibu na DSTV mwenyewe atajiongeza!
Kwan kuna kipi special dstv zaidi ya EPL?
azam tv kakamata ma house girl hadi mabosi watu wapo bz na sinema zetu na african movies hiyo EPL yako nenda vibanda umiza.
Viva azam tv go go!
Sultani.Mi nadhani walichofanya azamtv kizuri ni kutafuta KWANZA bei ya huduma. Kisha wakaamua kuwa bei ndogo sio huduma hafifu. Waliowengi wanawapenda DSTV kwa LIGI YA UINGEREZA tu. Zipo program kama Nat. Geo. Wild na BBC series kama Entertainment, Knowledge etc ni za "Elite". Lakini bei ya DSTV bei ya kuiona Ligi ya Uingereza Live bei yake inajulikana.
Kwa bahati mbaya watazamaji wa tv nyumbani 80-90% ya muda wote ni dada zetu, wake zetu, mama zetu na wadogo zetu. Hawa kwa muda mwingi hawana haja ya Premier League, BBC Knowledge, wala History Channel. Na hawa ndio wanaowanyima DSTV usingizi. Kwa vile yale yoote wanayotaka kwa sasa yapo Azamtv. Hata kama una DSTV nguvu ya wadau hawa ni kwamba lazima uwaletee Azamtv, we kaa na Chelsea au Man U zako!!!!
Nakubali mkuu DSTV is the bestHakuna kitu ambacho azam wanacho ila dstv hawana zaidi ya kurusha mpira wa bongo. Kama movie zote za dunia na bongo movie dstv ndiyo nyumbani. Tuache utani dstv ukiweza afford kile kifurushi kikubwa hutajuta katu. Acheni kufananisha mdokozi na jambazi aliyeshindikana. Dstv hata ulaya ipo halafu nyie mnatoa povuuuuu. What is azam so far.
Hakuna kitu ambacho azam wanacho ila dstv hawana zaidi ya kurusha mpira wa bongo. Kama movie zote za dunia na bongo movie dstv ndiyo nyumbani. Tuache utani dstv ukiweza afford kile kifurushi kikubwa hutajuta katu. Acheni kufananisha mdokozi na jambazi aliyeshindikana. Dstv hata ulaya ipo halafu nyie mnatoa povuuuuu. What is azam so far.
Unasema akipata kibali wakati dstv anacho na East Africa yote anatamba.Unayoyasema ni probability akikosa. Vijijini kwenyewe wanajua utamu wa epl na wamefunga dstv.Dstv ipo ulaya ki vp! Inapambana kupata soko au inapatikana ukiwa na king'amuzi!? Kokote ambapo Dstv ipo basi weka king'amuzi cha Azam na yenyewe utaipata. Ata Africa Dstv haipo nchi zote (kibiashara siyo frequency kupatikana) wateja wote wa Dstv hawazidi milioni 8. Kwa maana hiyo Azam akipata wateja m5 Tz na akapata wengine m3 kutoka Ken, Rw na Ug anakua na customer base kubwa kuliko Dstv. Graph ya growth market share ya Azam ni nzuri sana. Ukiona box la azam lina enda kwa 150 na Dstv kwa 70 utaelewa zaidi. Umeme wa REA pia una mfavour sana Azm uko kijijini kila mtu akipata umeme anafunga Azam kama wana ambizana. Kumbuka umeme Tz umesambaa kwa less than 65%. Kama azam akizichanga karata vizuri ni bonge la threat kwa Dstv hasa aki anzisha movie channel ya kwake na kuonyesha ma blockbuster na akipata haki za kurusha ligi ya EPL na champions league, sababu Serie A, la liga, league 1, eredivise, standard lige (Samatta) na ligi zingine ndogo ndogo tayari zinapatikana.
*Mimi nina tumia Dstv na Azam, ila naeza ishi bila Dstv. Siwezi nika kosa kumwona mnyama kizembe.
Hakunaga kama DStv, Azam TV akajifie huko!