Azam Media ni nani aliyetoa maelekezo msioneshe mechi ya kirafiki ya Sudani vs Taifa stars? Haya endeleeni na timu yenu kivyenu vyenu

Azam Media ni nani aliyetoa maelekezo msioneshe mechi ya kirafiki ya Sudani vs Taifa stars? Haya endeleeni na timu yenu kivyenu vyenu

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nimeshangazwa sana na huu utumbo wa Azam Media kusema wataonesha halafu wasioneshe.

Haya endeleeni kufuata maelekezo na timu lenu kivyenu vyenu.

Na mkumbuke kutuomba radhi kwa huu utumbo wa kututangazia halafu mnatokomea gizani.
Screenshot_20231015-201019.jpg
 
Nimeshangazwa sana na huu utumbo wa Azam Media kusema wataonesha halafu wasioneshe.

Haya endeleeni kufuata maelekezo na timu lenu kivyenu vyenu.

Na mkumbuke kutuomba radhi kwa huu utumbo wa kututangazia halafu mnatokomea gizani.View attachment 2783102
Kwani Televisheni yenu ya Taifa Ina kazi gani mpaka isionyeshe!?


Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Ni ujinga kuilaumu Azam kwajili ya hili. Hii thread haina sifa ya kuwa kwenye jukwaa la great thinkers.
NANI ALIYESEMA ATAONESHA??

MBONA HUNA HOJA HALAFU UNAROPOKA TU.
 
Back
Top Bottom