Azam media imebamba hapa Tanzania!
Watanzania wanatazama na kuvutiwa na tamthilia zinazorushwa kwenye Chanel hii!
Bahati mbaya waswahili wanaonakilisha sauti kwenye tamthilia Wana shida kubwa katika tungo za kutaja undugu wa watu!
" Baba yake na Maria, badala ya Baba yake Maria!
"Shangazi yake na Kulfi, badala ya shangazi yake kulfi
Hizi tungo mbovu zinabamba mitaani, Hadi huku kwetu ambako kauli hizo hazikuwepo
Huku kwetu Mtwara watu wanaacha kauli sahihi na wanaanza kutumia kauli hizo potofu!
Hapa naamini ni mwenendo wa Tanzania kote, hivyo kufanya kuwa janga kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili
Kwakweli uongozi wa Azam uangalie hili ili kunusuru kiswahili chetu!
Pia Basata na Bakita, muliangalie hili,
Azam Ni media kubwa Sana, kiasi kwamba ina nguvu ya kukibomoa ama kukijenga kiswahili
Naomba kuwasilisha!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Watanzania wanatazama na kuvutiwa na tamthilia zinazorushwa kwenye Chanel hii!
Bahati mbaya waswahili wanaonakilisha sauti kwenye tamthilia Wana shida kubwa katika tungo za kutaja undugu wa watu!
" Baba yake na Maria, badala ya Baba yake Maria!
"Shangazi yake na Kulfi, badala ya shangazi yake kulfi
Hizi tungo mbovu zinabamba mitaani, Hadi huku kwetu ambako kauli hizo hazikuwepo
Huku kwetu Mtwara watu wanaacha kauli sahihi na wanaanza kutumia kauli hizo potofu!
Hapa naamini ni mwenendo wa Tanzania kote, hivyo kufanya kuwa janga kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili
Kwakweli uongozi wa Azam uangalie hili ili kunusuru kiswahili chetu!
Pia Basata na Bakita, muliangalie hili,
Azam Ni media kubwa Sana, kiasi kwamba ina nguvu ya kukibomoa ama kukijenga kiswahili
Naomba kuwasilisha!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app