Azam Media tunaomba pambano la Mandonga vs Wanyonyi lirushwe mbashara

Azam Media tunaomba pambano la Mandonga vs Wanyonyi lirushwe mbashara

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Wakuu huyu kipenzi chetu cha watanzania anatuburudisha vzr sana kwa aina ya kipee sana [emoji38]. Ni bondia anaependwa vzr sana na anafatiliwa hadi na vingozi wa kiserekali hasa waziri mkuu wetu hvyo tuomba mtuletee pambano hilo ambalo limeteka nyoyo za mashabiki wengi wa ngumi kwa Kenya na Tanzania.

Wakenya wametokea kumuelewa Sana mandonga wetu mji mzima leo Ni mjadala kuhusu fight hyo hapo kesho sijajuwa ndio main fight au Kuna kubwa kuliko.

Plz once again kama kuna uwezekano tuletewe pambano hilo tumuone mtanzania wetu anavyo mchakaza mkenya ndugu yetu wanyonyi.

Nawasilisha

Happy new year 2023

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu huyu kipenzi chetu cha watanzania anatuburudisha vzr sana kwa aina ya kipee sana [emoji38]. Ni bondia anaependwa vzr sana na anafatiliwa hadi na vingozi wa kiserekali hasa waziri mkuu wetu hvyo tuomba mtuletee pambano hilo ambalo limeteka nyoyo za mashabiki wengi wa ngumi kwa Kenya na Tanzania.

Wakenya wametokea kumuelewa Sana mandonga wetu mji mzima leo Ni mjadala kuhusu fight hyo hapo kesho sijajuwa ndio main fight au Kuna kubwa kuliko.

Plz once again kama kuna uwezekano tuletewe pambano hilo tumuone mtanzania wetu anavyo mchakaza mkenya ndugu yetu wanyonyi.

Nawasilisha

Happy new year 2023

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hivi akifa watasafirisha au watazikia huko huko?
 
Ngumi hasa za kichwa hazijawahi Meacham MTU Salama Mandonga akiendelea hivi Kuna siku atakuja kutambua kwamba mchezo huu Ni hatar Na unatakiwa kucheza ukiwa timamu.
 
Back
Top Bottom