sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nyinyi ni mbumbumbu tu! Hata hao Azam wakiamua kuwadanganya kwa kuwasainisha huo mkataba wa bilioni 90, halafu baadae wakiwapiga kiswahili, mnakubali tu.
Na kama mimi ni muongo, uniambie hapa kama yule kuch kuch hotae ameshaweka kwenye akaunti ya klabu, zile bilioni 20!
Binafsi mkataba wa Azam na Simba nautazama ktk maeneo mawiliHuku Watu wa Yanga SC wakidhani kuwa Mkataba wao waliouingia Jana na Azam Media ni mnono mpaka wanawacheka Simba SC kumbe wameula tu wa Chuya.
Taarifa za ndani kabisa ambazo msaka Habari ngumu na za Hatari GENTAMYCINE nimezipata zinasema kwamba Azam Media waliona waanze Kuingia Udhamini na Yanga SC kabla ya kuingia na Simba SC Wiki Mbili zijazo ambao utakuwa ni Maradufu Kimaslahi.
" Kaka GENTAMYCINE hivi unadhani Yanga SC wangeona Azam Media imeingia Mkataba na Simba SC wa Tsh Bilioni 90 au 100 na wao wangeingia nao kama ule wa jana wa Tsh Bilioni 41 wangekubali? Walichofanya Azam Media ni kucheza na Akili za Kimbumbumbu za Yanga SC na Ushamba wao kuwawahi na Mkataba ule uliowafunga kwa miaka 10 kisha waje wamalizane na Simba SC kwa Mkataba mkubwa zaidi "
Taarifa za ndani kabisa nilizozipata zinasema Azam Media kwa Ubora wa Simba SC, Mafanikio yake ya ndani na nje ( VPL na CL ) huku ikifanya vyema hata Mitandaoni, Timu Kujulikana zaidi Afrika na Duniani na Mashabiki wake wengi kuwa na mwamko wanaenda Kuingia Mkataba na Simba SC wa kati ya Tsh Bilioni 75 mpaka Tsh Bilioni 90 ambapo kuna uwezekano Simba SC kila Mwezi ikapokea Tsh Milioni 350 mpaka Tsh Milioni 400.
Hongereni sana Azam Media na poleni sana Yanga SC kwa Kutangulizwa huku mkidhani mmepata Pesa nyingi kutoka Azam Media wakati Wiki Mbili zijazo tu Simba SC inaenda Kuingia Mkataba mnono na wenye Vitu vingi vya maana na Simba SC.
Simba SC tujiandaeni Kufurahia zaidi.
ujanja wooote huo,20b kimyaa,uwanja unaitwa sijui nn vileYaan Simba sc ndio mwanzilishi wa izi Club day event hapa Tz then uingie nae dili dogo ?
Simba sc ndio club yenye followers wengi ktk social networks hapa E&C Africa thennuingie nae dili dogo ?
Simba sc ni CAF CL quarter finalist for 2 yrs ndani ya EAC then uingie dili dogo ?
Simba Sc. Kupitia Simba queens wana cheza Women CAF CL then uingie nao dili sawa na yanga ?
CAF wenyewe wana michuano yao ile mipya ya SUPER LEAGUE then imejumuishwa directly na Pitso Musimane Mwenyewe Prezda wa CAF then simba sc wasain deal sawa na Yanga ?
Wana yanga msijitambe ...hapo ktk ilo deal Simba sc lzm atapata zaidi yenu
Timu zake ile ya wanawake na wanaume zote ni mtaji kwa Azam Tv sambamba na ma product mengine mengi under Simba Sc as a BrandWewe umetoa kauli kuwa Simba ina products nyingi kuliko Yanga. Hoja sio brands bali ni products zinazozalishwa na Simba naomba nitajie hizo products maana wewe mwenyewe umesema kuhusu products
Watu wa yanga tulieni Kaka zenu tupo busy ktk ku negotiate biashara kubwa zaid na hao Azamujanja wooote huo,20b kimyaa,uwanja unaitwa sijui nn vile
Hizo products under simber sc ndio zipi si uzitaje tuzijue sio kuishia kusema tu products under.... Sina shaka na timu za vijana, wanawake na senior team. Bali nataka kujua bidhaa zinazotengenezwa na Simba ni zipi hizo?Timu zake ile ya wanawake na wanaume zote ni mtaji kwa Azam Tv sambamba na ma product mengine mengi under Simba Sc as a Brand
Kwani thamani ya simba ni kiasi gani tuanzie hapo.Huku Watu wa Yanga SC wakidhani kuwa Mkataba wao waliouingia Jana na Azam Media ni mnono mpaka wanawacheka Simba SC kumbe wameula tu wa Chuya.
Taarifa za ndani kabisa ambazo msaka Habari ngumu na za Hatari GENTAMYCINE nimezipata zinasema kwamba Azam Media waliona waanze Kuingia Udhamini na Yanga SC kabla ya kuingia na Simba SC Wiki Mbili zijazo ambao utakuwa ni Maradufu Kimaslahi.
" Kaka GENTAMYCINE hivi unadhani Yanga SC wangeona Azam Media imeingia Mkataba na Simba SC wa Tsh Bilioni 90 au 100 na wao wangeingia nao kama ule wa jana wa Tsh Bilioni 41 wangekubali? Walichofanya Azam Media ni kucheza na Akili za Kimbumbumbu za Yanga SC na Ushamba wao kuwawahi na Mkataba ule uliowafunga kwa miaka 10 kisha waje wamalizane na Simba SC kwa Mkataba mkubwa zaidi "
Taarifa za ndani kabisa nilizozipata zinasema Azam Media kwa Ubora wa Simba SC, Mafanikio yake ya ndani na nje ( VPL na CL ) huku ikifanya vyema hata Mitandaoni, Timu Kujulikana zaidi Afrika na Duniani na Mashabiki wake wengi kuwa na mwamko wanaenda Kuingia Mkataba na Simba SC wa kati ya Tsh Bilioni 75 mpaka Tsh Bilioni 90 ambapo kuna uwezekano Simba SC kila Mwezi ikapokea Tsh Milioni 350 mpaka Tsh Milioni 400.
Hongereni sana Azam Media na poleni sana Yanga SC kwa Kutangulizwa huku mkidhani mmepata Pesa nyingi kutoka Azam Media wakati Wiki Mbili zijazo tu Simba SC inaenda Kuingia Mkataba mnono na wenye Vitu vingi vya maana na Simba SC.
Simba SC tujiandaeni Kufurahia zaidi.
Sasa hapo ndipo ujinga wenu ulipo mtajiaminisha kuwa simba inathamini kubwa then mtakataa deal la azam kwakuwa ni dogo then mnalikosa au mnakuwa chini hapo.Yaan Simba sc ndio mwanzilishi wa izi Club day event hapa Tz then uingie nae dili dogo ?
Simba sc ndio club yenye followers wengi ktk social networks hapa E&C Africa thennuingie nae dili dogo ?
Simba sc ni CAF CL quarter finalist for 2 yrs ndani ya EAC then uingie dili dogo ?
Simba Sc. Kupitia Simba queens wana cheza Women CAF CL then uingie nao dili sawa na yanga ?
CAF wenyewe wana michuano yao ile mipya ya SUPER LEAGUE then imejumuishwa directly na Pitso Musimane Mwenyewe Prezda wa CAF then simba sc wasain deal sawa na Yanga ?
Wana yanga msijitambe ...hapo ktk ilo deal Simba sc lzm atapata zaidi yenu
Kama unavyodhani Wewe ni Masikini mpaka katika Kope zako za Macho basi kila Mtu yuko hivyo Mkuu? Kuna Watu wana Hela Tanzania hii hii hadi hawajui wazifanyie nini na pia Masikini ( Wanyonge ) tuliotukuka kama akina GENTAMYCINE nasi pia tupo tele tu.Hawa azam midia huu mkwanja wanaupata wapi? Tff atalipwa 225.6bn, Yanga 43bn , simba 90bn. Jumla 360bn.
Mkuu sikujui 'Personally' ila kwa haya 'Madini' yako ya maana na yaliyoenda Kidato ( Shule ) kwa Heshima yako naomba nikuamkie Shikamoo. Una Akili Kubwa mno na hakika Wewe ni 'Great Thinker' hasa. Kongole ( Pongezi ) nyingi Kwako na nimekukubali sana.Binafsi mkataba wa Azam na Simba nautazama ktk maeneo mawili
Eneo la kwanza ni endapo mkataba utafungwa kabla ya Simba kukamilisha mchakato wa mabadiliko ya kuwa Kampuni (kama ilivyotokea kwa Yanga).Hapa ndo kwenye ugumu kwa sababu endapo mkataba utaingiwa kabla ya kukamilika mchakato wa mabadiliko means unakuja kuongeza thamani ya timu,kwa maana hiyo wawekezaji watakaoichukua Simba itawalazimu kufanya uwekezaji angalau utakaozidi thamani ya mkataba pamoja na mali zingine za Club.Kwa mfano sitegemei Simba iwe na mkataba labda tuseme wa 45bil.kwa kipindi cha miaka 10,halafu ikubali uwekezaji wa 25b.Eneo hili Wanunuzi au Wawekezaji hawatalipenda na kwa wale wenye ushawishi wanaweza kufanya "robbing" ili mkataba wa aina usifanyike katika hatua hii kwani gharama za uwekezaji kwa upande wo zinaweza kuongezeka kuliko matarajio ya awali
Eneo la pili ni endapo Mkataba utafungwa baada ya kukamilika kwa mchakato wa Kampuni (tofauti na ilivyofanya Yanga),hapa sasa ndo wawekezaji kama kina MO wanapopataka kwa sababu hapa watanufaika zaidi ,yaani unafanya uwekezaji wa 25b.halafu baada ya Mwezi anakuja mtu mnakubaliana umuuzie sehemu ya uwekezaji wako kwa 45b.tena kwa miaka 10 tu,biashara tamu kabisa hii
Kwa Yanga kuingia mkataba kama huu unapunguza utegemezi wa Wafadhili kwa sababu mchakato wa kampuni bado haujakamilika na huwezi jua nini kitatokea huko mbeleni,,kwa maana ya kwamba leo hii ikitokea labda GSM akaondoka Yanga kabla ya mchakato wa Kampuni haujakamilka timu inaweza angalau kuwa na pa kushikilia isidondoke kama ilivyowahi kutokea miaka miwili iliyopita enzi za kutembeza bakuli
Lakini pia mkataba huu unakuja kuongeza thamani ya Club ya Yanga kabla haijangia kwenye mikono ya Wawekezaji.Yaani mpaka sasa ili wawekezaji waichukue Yanga watahitaji kuwekeza zaidi ya 42b.
Na kwa upande wa Simba kuchelewa kupata mkataba kama huu kunailazimu timu indelee kutegemea Wafadhili kwa sehemu kubwa,na endapo mchakato wa Kampuni hautafika mwisho,na ikatokea MO akakaa pembeni inawezekana timu ikatetereka zaidi kuliko wenzao ambao wana uhakika wa kupata 200m.kila mwezi
............................................
Naona tuna mtazamo tofauti stay on your laneHizo products under simber sc ndio zipi si uzitaje tuzijue sio kuishia kusema tu products under.... Sina shaka na timu za vijana, wanawake na senior team. Bali nataka kujua bidhaa zinazotengenezwa na Simba ni zipi hizo?
Walete Pesa nzuri sio watufananishe na timu ambayo hata CAF CL group stage level hawaijuiSasa hapo ndipo ujinga wenu ulipo mtajiaminisha kuwa simba inathamini kubwa then mtakataa deal la azam kwakuwa ni dogo then mnalikosa au mnakuwa chini hapo.
Ikiwa Evaluation ya Tapeli Mo itatumika kupata thamani ya simba, basi jiandaeni kisaikologia, Mo alishusha thamani ya simba ili awin kuimiliki simba.
Mkuu unanifanya nicheke sana kwani umemdaka mwana Simba SC Mwenzangu patamu sana na umeshajua umemkamata na hana cha Kujitetea na Wewe unang'ang'aia hapo hapo tu. Mpambano wenu naufurahia mno hukuHizo products under simber sc ndio zipi si uzitaje tuzijue sio kuishia kusema tu products under.... Sina shaka na timu za vijana, wanawake na senior team. Bali nataka kujua bidhaa zinazotengenezwa na Simba ni zipi hizo?
Unaish kwa imani sana.Huku Watu wa Yanga SC wakidhani kuwa Mkataba wao waliouingia Jana na Azam Media ni mnono mpaka wanawacheka Simba SC kumbe wameula tu wa Chuya.
Taarifa za ndani kabisa ambazo msaka Habari ngumu na za Hatari GENTAMYCINE nimezipata zinasema kwamba Azam Media waliona waanze Kuingia Udhamini na Yanga SC kabla ya kuingia na Simba SC Wiki Mbili zijazo ambao utakuwa ni Maradufu Kimaslahi.
" Kaka GENTAMYCINE hivi unadhani Yanga SC wangeona Azam Media imeingia Mkataba na Simba SC wa Tsh Bilioni 90 au 100 na wao wangeingia nao kama ule wa jana wa Tsh Bilioni 41 wangekubali? Walichofanya Azam Media ni kucheza na Akili za Kimbumbumbu za Yanga SC na Ushamba wao kuwawahi na Mkataba ule uliowafunga kwa miaka 10 kisha waje wamalizane na Simba SC kwa Mkataba mkubwa zaidi "
Taarifa za ndani kabisa nilizozipata zinasema Azam Media kwa Ubora wa Simba SC, Mafanikio yake ya ndani na nje ( VPL na CL ) huku ikifanya vyema hata Mitandaoni, Timu Kujulikana zaidi Afrika na Duniani na Mashabiki wake wengi kuwa na mwamko wanaenda Kuingia Mkataba na Simba SC wa kati ya Tsh Bilioni 75 mpaka Tsh Bilioni 90 ambapo kuna uwezekano Simba SC kila Mwezi ikapokea Tsh Milioni 350 mpaka Tsh Milioni 400.
Hongereni sana Azam Media na poleni sana Yanga SC kwa Kutangulizwa huku mkidhani mmepata Pesa nyingi kutoka Azam Media wakati Wiki Mbili zijazo tu Simba SC inaenda Kuingia Mkataba mnono na wenye Vitu vingi vya maana na Simba SC.
Simba SC tujiandaeni Kufurahia zaidi.
Hapo hakuna hoja yoyote,na usidhani kuwa yanga hawajui kuwa,moja ya udhaifu mkubwa wa simba ni uongozi,azqm wanatia saini na nani simba?,mo?au viongozi wa simba?,leo unaiona yanga iko chini,subiri kama mwaka utaiongelea yanga hii hii,unavyoingelea sasa,pia fahamu kuwa azam haina uwezo wa kifedha,kutoa kiasi kikubwa cha fedha hicho kwa timu kubwa 2 nchini tanzaniaHuku Watu wa Yanga SC wakidhani kuwa Mkataba wao waliouingia Jana na Azam Media ni mnono mpaka wanawacheka Simba SC kumbe wameula tu wa Chuya.
Taarifa za ndani kabisa ambazo msaka Habari ngumu na za Hatari GENTAMYCINE nimezipata zinasema kwamba Azam Media waliona waanze Kuingia Udhamini na Yanga SC kabla ya kuingia na Simba SC Wiki Mbili zijazo ambao utakuwa ni Maradufu Kimaslahi.
" Kaka GENTAMYCINE hivi unadhani Yanga SC wangeona Azam Media imeingia Mkataba na Simba SC wa Tsh Bilioni 90 au 100 na wao wangeingia nao kama ule wa jana wa Tsh Bilioni 41 wangekubali? Walichofanya Azam Media ni kucheza na Akili za Kimbumbumbu za Yanga SC na Ushamba wao kuwawahi na Mkataba ule uliowafunga kwa miaka 10 kisha waje wamalizane na Simba SC kwa Mkataba mkubwa zaidi "
Taarifa za ndani kabisa nilizozipata zinasema Azam Media kwa Ubora wa Simba SC, Mafanikio yake ya ndani na nje ( VPL na CL ) huku ikifanya vyema hata Mitandaoni, Timu Kujulikana zaidi Afrika na Duniani na Mashabiki wake wengi kuwa na mwamko wanaenda Kuingia Mkataba na Simba SC wa kati ya Tsh Bilioni 75 mpaka Tsh Bilioni 90 ambapo kuna uwezekano Simba SC kila Mwezi ikapokea Tsh Milioni 350 mpaka Tsh Milioni 400.
Hongereni sana Azam Media na poleni sana Yanga SC kwa Kutangulizwa huku mkidhani mmepata Pesa nyingi kutoka Azam Media wakati Wiki Mbili zijazo tu Simba SC inaenda Kuingia Mkataba mnono na wenye Vitu vingi vya maana na Simba SC.
Simba SC tujiandaeni Kufurahia zaidi.