kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Itakuwa kazi bure kuwekeza sana kwenye timu za ligi luu bila kuangalia pia eneo la waamuzi ubora wa ligi.
Maamuzi mabaya viwanjani yanatia karaha watizamaji wa mpira. Kuna watu wasiopenda karaha wanaoamua wasiangalie kabisa mechi za ligi kuu zenye makosa makubwa ya wazi na makusudi ya waamuzi.
Maamuzi mabaya viwanjani mbali ya kukera watu, lakini pia yanatoa washindi wasioweza kushindana na washindi kutoka ligi nyingine za Africa. Hivyo, eneo la uwamuzi ni muhimu sana kwa Azam Media kwa kushirikiana na wadau wengine kulitupia macho, hasa kwenye mafunzo ya waamuzi na maslahi yao.
Sio vibaya kama Azam Media na TFF utaleta waamuzi kutoka nje kwenye big mechi ili kutoa changamoto kwa waamuzi wetu wa ndani.
TFF na Azam Media mruhusu kutumia Azam tv replays zenu ili kusaidia mwamuzi kuamua makosa yenye utata viwanjani wakati huu ambao hatuna VAR kwenye mechi.
Maamuzi mabaya viwanjani yanatia karaha watizamaji wa mpira. Kuna watu wasiopenda karaha wanaoamua wasiangalie kabisa mechi za ligi kuu zenye makosa makubwa ya wazi na makusudi ya waamuzi.
Maamuzi mabaya viwanjani mbali ya kukera watu, lakini pia yanatoa washindi wasioweza kushindana na washindi kutoka ligi nyingine za Africa. Hivyo, eneo la uwamuzi ni muhimu sana kwa Azam Media kwa kushirikiana na wadau wengine kulitupia macho, hasa kwenye mafunzo ya waamuzi na maslahi yao.
Sio vibaya kama Azam Media na TFF utaleta waamuzi kutoka nje kwenye big mechi ili kutoa changamoto kwa waamuzi wetu wa ndani.
TFF na Azam Media mruhusu kutumia Azam tv replays zenu ili kusaidia mwamuzi kuamua makosa yenye utata viwanjani wakati huu ambao hatuna VAR kwenye mechi.