Itapata thamani, kumbuka wana wachezaji wazuri waliofanya makubwa kuliko tanzania. Ni very determined sana kwenye michezo.Ligi ya Kenya haina uzuri wowote
Asante Kwa ufafanuziItapata thamani, kumbuka wana wachezaji wazuri waliofanya makubwa kuliko tanzania. Ni very determined sana kwenye michezo.
Pia kwenye msimamo wako juu yetu pale 105 japo ligi yao bado sana ukilinganisha na yetu
Kikosi cha timu ya taifa ya kenya kina thamani ya €17mil wkt Tanzania €5milion.View attachment 2734417View attachment 2734418
[emoji23][emoji23]Viwanja vya kenya bora vya ndondo cup
Aweke kipengere cha pitch ya nyasi bandia kwa kila kiwanja ambacho atachoonesha mechi yakeAzam akikaza buti na kuwekeza kwenye camera bora na matecnichian wazuri atampita DStv
Sasa mambo ya team ya taifa na ligi zinaingiliana vipi mzee?? Ni kweli licha ya kuwa kwenye team yao ya taifa wapo mbali lakini kwa league yao hamna kitu kabisa, haina mvuto kama alivyogusia mkuu HIMARSItapata thamani, kumbuka wana wachezaji wazuri waliofanya makubwa kuliko tanzania. Ni very determined sana kwenye michezo.
Pia kwenye msimamo wako juu yetu pale 105 japo ligi yao bado sana ukilinganisha na yetu
Kikosi cha timu ya taifa ya kenya kina thamani ya €17mil wkt Tanzania €5milion.View attachment 2734417View attachment 2734418
Azam Sports 4 HD itakuwa exclusive kwa ligi ya KenyaChannel tutakuwa tunanyanga'anyana hizi hizi au ataongeza nyingine!
Watakua na channel yao azam sports 4 HDChannel tutakuwa tunanyanga'anyana hizi hizi au ataongeza nyingine!
hio bil 23 ni kwa miaka 7 au per year....?View attachment 2734403
Azam Media na Shirikisho la Soka Kenya waingia mkataba wa haki ya matangazo kuonesha ligi ya Kenya wenye thamani ya Shilingi za Tanzania Bilioni 23, kwa muda wa miaka saba.
Hii ni hatua njema kwa kukuza ligi za ukanda wetu. Wakenya toeni support kwa Azam media, mtafurahia sana.
Viva Azam.
Viva Tanzania.
Viva East Africa.
===
Pia soma - Hongera Azam kwa kuanza kuonesha Ligi ya Kenya mtafika mbali. Commentator awe na lafudhi yao kama DJ Afro