MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 716
- 1,143
Habari
Jana kuikuwa na mechi ya mpira wa miguu kati ya watani wa jadi na timu kongwe kabisa Simba na Yanga. Kwa jinsi Azam walivyo itangaza ikiwafanya watu waizungumze sana hiyo mechi mpaka wakasahau kwamba siku hiyo hiyo kuna mechi nyingine England ya Premier ya kukata na shoka ya Manchester United dhidi ya Arsenal. Zamani games za ulaya ziikuwa zinapewa kipaumbele sana kulikoni league ya Bongo. Nimeona watu wakiwa wamevaa jezi za Simba na Yanga kuliko za Manchester United na Arsenal hii yote inaonyesha tumeanza kupenda vya kwetu japo kwa mwendo mdogo mdogo. Ni kutokana na hilo nimeanza kuelewa tangazo la TTCL la RUDI NYUMBANI KUMENOGA.
Jana kuikuwa na mechi ya mpira wa miguu kati ya watani wa jadi na timu kongwe kabisa Simba na Yanga. Kwa jinsi Azam walivyo itangaza ikiwafanya watu waizungumze sana hiyo mechi mpaka wakasahau kwamba siku hiyo hiyo kuna mechi nyingine England ya Premier ya kukata na shoka ya Manchester United dhidi ya Arsenal. Zamani games za ulaya ziikuwa zinapewa kipaumbele sana kulikoni league ya Bongo. Nimeona watu wakiwa wamevaa jezi za Simba na Yanga kuliko za Manchester United na Arsenal hii yote inaonyesha tumeanza kupenda vya kwetu japo kwa mwendo mdogo mdogo. Ni kutokana na hilo nimeanza kuelewa tangazo la TTCL la RUDI NYUMBANI KUMENOGA.