Azam na Coastal union wawaombe radhi mashabiki wa soka

Azam na Coastal union wawaombe radhi mashabiki wa soka

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Kwa nafasi ya uwakilishi wa kuwa na timu nne bado tumeshindwa kuwa na timu zenye ushindani. Timu zinazopata nafasi ya kuwakilisha nchi kwa michezo ya kimataifa hazijajianda au hazina utayari zaidi ya BAHATI na si ubora.

Tumeshudia Azam na Coastal Union walichofanya hatua za awali tu wameshindwa vibaya kusonga mbele na hili si mara ya kwanza kila tunapopata nafasi ya kushirikisha timu nne hali ni tete.

Ni bora kuwa na timu moja au mbili zinazoonesha kupambana kuliko kuwa na timu nyingi ambazo hazijui zinataka nini.

Tusijisifu kuwa ligi yetu ni bora kwa sasa kuna sehemu tunapobahatisha siyo kwa uwezo, au soka la Afrika tuseme limeshuka viwango nasi tunapita kwenye mwanya huo huo.

Katika wanne, wawili ambao ni dhaifu na wameonyesha udhaifu wao tayari washarudi kuendeleza porojo zao, wa tatu nae yupo kwenye hati hati muda wowote kwani bado anajitafuta. Na wa mwisho na imani hatotudhalilisha kazi yao inaonekana wazi wazi bila chenga.
 
Kwa nafasi ya uwakilishi wa kuwa na timu nne bado tumeshindwa kuwa na timu zenye ushindani.
Timu zinazopata nafasi ya kuwakilisha nchi kwa michezo ya kimataifa hazija jianda au hazina utayari zaidi ya BAHATI na si ubora.
Tumeshudia Azam na Coastal Union walichofanya hatua za awali tu wameshindwa vibaya kusonga mbele na hili si mara ya kwanza kila tunapo pata nafasi ya kushirikisha timu nne hali ni tete.
Ni bora kuwa na timu moja au mbili zinazo onyesha kupambana kuliko kuwa na timu nyingi ambazo hazijuwi zinataka nini.
Tusijisifu kuwa ligi yetu ni bora kwa sasa kuna sehemu tunapo baatisha siyo kwa uwezo, au soka la africa tuseme limeshuka viwango nasi tunapita kwenye mwanya huo huo.
Katika wanne, wawili ambao ni dhaifu na wameonyesha udhahifu wao tayari washarudi kuendeleza porojo zao, wa tatu nae yupo kwenye hati hati muda wowote kwani bado anajitafuta. Na wa mwisho na imani hatotudhalilisha kazi yao inaonekana wazi wazi bila chenga.
Wameidhalilisha ligi yetu
 
Aibu sana ukweli ligi ni ya kawaida hakuna Cha utano Wala Sita Gormahia kamuadhibu El mereikh goli za kutosha bila kelele
Wa Angola huingia nusu final bila mabilioni njoo hapa kwetu Sasa anyway CHETU NI CHETU
 
Kwa nafasi ya uwakilishi wa kuwa na timu nne bado tumeshindwa kuwa na timu zenye ushindani. Timu zinazopata nafasi ya kuwakilisha nchi kwa michezo ya kimataifa hazijajianda au hazina utayari zaidi ya BAHATI na si ubora.

Tumeshudia Azam na Coastal Union walichofanya hatua za awali tu wameshindwa vibaya kusonga mbele na hili si mara ya kwanza kila tunapopata nafasi ya kushirikisha timu nne hali ni tete.

Ni bora kuwa na timu moja au mbili zinazoonesha kupambana kuliko kuwa na timu nyingi ambazo hazijui zinataka nini.

Tusijisifu kuwa ligi yetu ni bora kwa sasa kuna sehemu tunapobahatisha siyo kwa uwezo, au soka la Afrika tuseme limeshuka viwango nasi tunapita kwenye mwanya huo huo.

Katika wanne, wawili ambao ni dhaifu na wameonyesha udhaifu wao tayari washarudi kuendeleza porojo zao, wa tatu nae yupo kwenye hati hati muda wowote kwani bado anajitafuta. Na wa mwisho na imani hatotudhalilisha kazi yao inaonekana wazi wazi bila chenga.
Hamna timu mle.
 
Simba hata golini akikaa doto magari, beki yule muimbaji wa nyimbo za maombolezo(bonge hivi), straika tukaweka jiwe tu, na bado tunaenda makundi, muhimu tu watumie jina la SIMBA sc.
 
Na wa mwisho na imani hatotudhalilisha kazi yao inaonekana wazi wazi bila chenga.
ulianza hoja zako vizuri, ila hapa mwisho ukaharibu kwa mihemko yako ya "nyuma mwiko'
#Trash
 
Aibu sana ukweli ligi ni ya kawaida hakuna Cha utano Wala Sita Gormahia kamuadhibu El mereikh goli za kutosha bila kelele
Wa Angola huingia nusu final bila mabilioni njoo hapa kwetu Sasa anyway CHETU NI CHETU
Ligi imejaa uhuni na games fixing. Et wanaamua watu timu fulani lazima ibebe ubingwa.Haya ndo matokeo yake
 
Nikukumbushe tu Azam fc ni yake tajiri na sio ya wanachama sw. Kitulize
 
Back
Top Bottom